Saoka
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 405
- 565
Habari wadau nimeitwa kwenye usahili/interview katika nafasi ya utendaji wa kijiji daraja la III hivyo naombeni dodoso kidogo mfano wa maswali ambayo tunaweza kuulizwa kule wakati wa Interview,
Lengo nikupata mwanga na kujua namna yakujibu maswali yatakayoulizwa kwakuwa ndio mara ya kwanza kuitwa kwenye usahili
Ahsante.
Lengo nikupata mwanga na kujua namna yakujibu maswali yatakayoulizwa kwakuwa ndio mara ya kwanza kuitwa kwenye usahili
Ahsante.