LAPF, PSPF, PPF, GEPF, NSSF ipi ni bora katika kuwa mwanachama

benja

JF-Expert Member
May 10, 2011
318
196
Habari Wakuu,

Naomba kufahamu upi ni mfuko mzuri kujiunga kama mwanachama (na sio kuwa muajiriwa wa mfuko). Kwa maana nyingine kama mtu kaajiriwa sehemu fulani na akapewa uhuru wa kuwa mwanachama wa mfuko wa bima mmoja wapo je mfuko upi wa bima ni mzuri na una manufaa kwa huyo muajiriwa?
 
kikubwa ni kwamba 20% of your salary must go there, either 5 by 15 or 10 by 10. mengine mbwembwe!
 
Thanks but that much i know, nauliza mafao wapi wako vizuri mkuu
 
Chaagua kati ya LAPF na PSPF kama unaruhusiwa kujiunga kati ya hii mifuko miwili ningekushauri ujiunge PSPF
 
NSSF wanakata 10% na mwajiri 10% wakati LAPF wanakukata 5% na mwajiri 15% hiyo pekeyake tu ilinifanya nikimbie NSSF na kujiunga na LAPF kwa kuwa kila mwezi na save 5%
 
NSSF wanakata 10% na mwajiri 10% wakati LAPF wanakukata 5% na mwajiri 15% hiyo pekeyake tu ilinifanya nikimbie NSSF na kujiunga na LAPF kwa kuwa kila mwezi na save 5%

Sio kweli boss kumbuka asilimia ya mifuko inakatwa kabla ya PAYE so ukikatwa asilimia ndogo PAYE inakuwa kubwa na kinyume chake kwahiyo hakuna unachoserve!
 

Acha kumpeleka mwenzio chaka,
PPF ni wanyonyaji # 1 kati ya hiyo mifuko yote.
Nakwambia ninao ushahidi wa kutosha mzee wangi amestaafu last month ni ujinga mtupu waliomlipa, mwenzie ambaye walikuwa wanalipwa salary same rate, wamefanya kazi miaka sawa ila mifukpvtofaiti ya hifadhi amelipwa milioni 160 zaidi ya mzee wangu. I hate PPF!
 
Mifuko bora ni miwili tu PSPF na LAPF(wanatumia the same formula katika ukokotoaji mafao)ila kati ya hii miwili PSPF ndio mfuko mzuri sababu;
1/Wana experience ya muda mrefu ktk ku operate as a pension fund(1999) compared to LAPF ambao wame transform from PROVIDENT to PENSION FUND mwaka 2008.

2/PSPF wana ofisi kila mkoa wakati LAPF wana ofisi kati ya 6 tu Tanzania nzima

3/Mikopo ya nyumba PSPF ni baada ya miaka 5 tu wakati LAPF ni baada ya miaka 15

4/PSPF wanatoa mafao ya aina 12 wakati LAPF wanatoa mafao ya aina 6 tu

5/PSPF wana wanachama karibu 400,000 kwa mujibu wa takwimu za mwaka jana wakati LAPF ndo wanaitafuta 100,000
 
Mifuko bora ni miwili tu PSPF na LAPF(wanatumia the same formula katika ukokotoaji mafao)ila kati ya hii miwili PSPF ndio mfuko mzuri sababu;
1/Wana experience ya muda mrefu ktk ku operate as a pension fund(1999) compared to LAPF ambao wame transform from PROVIDENT to PENSION FUND mwaka 2008.

2/PSPF wana ofisi kila mkoa wakati LAPF wana ofisi kati ya 6 tu Tanzania nzima

3/Mikopo ya nyumba PSPF ni baada ya miaka 5 tu wakati LAPF ni baada ya miaka 15

4/PSPF wanatoa mafao ya aina 12 wakati LAPF wanatoa mafao ya aina 6 tu

5/PSPF wana wanachama karibu 400,000 kwa mujibu wa takwimu za mwaka jana wakati LAPF ndo wanaitafuta 100,000
sasa we jamaa unakuwa kama ujasoma ratio pr school ukiangalia ratio ya muda wa kuanza operation na no of customers bado lapf ni iko juu maana imechelewa kuanza lakini speed yake ni kubwa ktk ukuaji hivyo tumia statistic vizuri kuargue.
 
sasa we jamaa unakuwa kama ujasoma ratio pr school ukiangalia ratio ya muda wa kuanza operation na no of customers bado lapf ni iko juu maana imechelewa kuanza lakini speed yake ni kubwa ktk ukuaji hivyo tumia statistic vizuri kuargue.

Usikurupuke kaka,soma uelewe sio unakimbilia ku reply.LAPF imeanzishwa 1944 as a provident fund ila 2008 wakatransform into a pension fund(tofautisha provident na pension fund) na muda wote huo since 1944 wamekuwa wakisajili wanachama
 
Nianze kwa kuweka wazi kuwa mimi si mwajiriwa wa mfuko wowote, wala si mwajiriwa wa mamlaka ya uthibiti wa mifuko ya pension(ssra). Maoni yangu ni ya mwananchi wa kawaida na mwenye uelewa wa kiasi katika tasinia ya hifadhi ya jamii. Mfuko bora wa hifadhi ya jamii ni ule
1. unaotoa mafao yote 9 kwa mujibu wa ILO au unaokaribia idadi hiyo.
2. Uwe ni endelevu yaani unaweza kuendelea kutoa mafao kwa wastaafu wake kwa muda mrefu hata bila ya kukusanya michango.
3. Utoe mafao yanayoendana na uchangiaji wa mwanachama i.e unacholipwa mwanachama unapostaafu kikaribiana na ulichochangia, ukilipwa too high jua mfuko huo ni kama ponzi scheme tuu.
 
Back
Top Bottom