funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?
Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?