Landing Rights for satellite launching in Tanzania

Landing Rights for satellite launching in Tanzania

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,535
Reaction score
31,199
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
 
kwahiyo hata katika hili walihitaji kibali?
Kama umesoma sheria angalau chekechea unajua kuwa sheria inaruhusu kuvunjwa panapolazimika.
Mfano 1. Hurusiwi kuingia chumbani kwa mtu pasipo ruhusa lakini ikitokea kuna hatari ya moto, mauaji, ubakaji huhitaji ruhusa kuingia chumbani kwa mtu.
Mfano 2. Hurusiwi kuingia shambani kwa mtu pasipo ruhusa lakini unapoona jambazi kajificha shambani mwa mtu na wewe ni askari utaenda kumshika jambazi au utamtafuta mwenye shamba ili akupe kibali?
 
Kukosa elimu ni shida! Yaani huu uzi unaonyesha ujinga wa hali ya juu. TCRA na hivyo vimashine vyao vys kuzima mitandao, hata juu ya mawingu hawafiki sasa huko kwenye anga za juu ilipo setilait wanahusikanaje huko? CCM inawafanya waTZ hata kujua mambo anga ni shida.
 
Ili kuweza kurusha satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahisika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??
siku wakiwa wanaua ndugu zako tutaomba uwazuie wasichukue picha mpk TCRA watoe vibali
 
Ili kuweza kurusha satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahisika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??
Wewe ni mjinga kabisa. Huna maarifa.
Satellites zipo juu ya anga la Tanzania na dunia nzima na zinachukua picha masaa 24 na huhitaji kibali chochote.
 
Wewe ni mjinga kabisa. Huna maarifa.
Satellites zipo juu ya anga la Tanzania na dunia nzima na zinachukua picha masaa 24 na huhitaji kibali chochote.
Wewe ni kilaza ...zipo sheria za kimataifa na kitaifa zinazosimamia...
 
M
Ili kuweza kurusha satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahisika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??
Mdau kutoka Facebook ana sema
A wiseman once saidi "You can't block diarrhea by putting a finger (🤞) into your @.nus"
 
Ili kuweza kurusha satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahisika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??
Kurusha satellite means launching?

Hawaitaji kibali, kama vile google earth na wengine. Wanarusha satellite huko kwao

Inazunguka dunia yote
 
kwahiyo hata katika hili walihitaji kibali?
Kama umesoma sheria angalau chekechea unajua kuwa sheria inaruhusu kuvunjwa panapolazimika.
Mfano 1. Hurusiwi kuingia chumbani kwa mtu pasipo ruhusa lakini ikitokea kuna hatari ya moto, mauaji, ubakaji huhitaji ruhusa kuingia chumbani kwa mtu.
Mfano 2. Hurusiwi kuingia shambani kwa mtu pasipo ruhusa lakini unapoona jambazi kajificha shambani mwa mtu na wewe ni askari utaenda kumshika jambazi au utamtafuta mwenye shamba ili akupe kibali?
Mkuu wewe na aliyeweka thread wote hamjui satellites ni nini na zinafanyaje kazi.
Nahisi mnafananisha satellites na drones

Satellites zipo huko angani kuzunguka maeneo yote wala haihitaji kibali cha mtu. Lengo la hizi satellites kwa civilian uses sio lengo bay ndio maana zinafanya kazi masaa 24

Utofauti upo kwenye kupata picha za sasa. Hii huduma inalipiwa. Sio cnn tu hata wewe ukiwa unataka picha za satellites za kijijini kwenu au popote za sasa hivi au miaka kumi iliyopita unapata ni pesa yako tu
 
Back
Top Bottom