Nikitumia uzoefu (naitumia katika field vijijini), nakushauri ununue Landcruiser V8. Imetengenezwa robust kwa ajili ya mazingira ya Kiafrika zaidi, hasa hizi barabara zetu mbovu. Inatumia mafuta kidogo sana, inakwenda km 11 hadi 12 kwa lita kwa spidi isiyozidi 140 KPH, lakini pia ni stable sana njiani hata ukiwa katika spidi kubwa. Ila, the car is fully electronic, uwe makini sana na mafuta ya kununua njiani, iko sensitive sana kwa mafuta yenye mushkeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.