landcruiser gx 1hz mil 12

landcruiser gx 1hz mil 12

saimon111

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
1,736
Reaction score
1,357
28092010348.jpg
gari inauzwa ipo DAR, ni Toyota land cruiser GX, model 1993, 1hz engine, dalali hakuna coz bei imeeleweka hapo million 12/=.......inahitaji matengenezo ya body kidogo kwa kua maji ya chumvi yameila kidogo, injini ni mpya, tairi zote 4 mpya na spare 2, mawasiliano 0655517964
 
Kiongozi, ningekuwa safi, sasa hivi ningekwambia 'business closed' maana naona kitu imetulia, au macho yangu tu?
 
By the way, maongezi yapo? Na je engine size ni ipi? Mwaga data za kutosha ili kupunguza maswali kutoka kwa wadau.
 
View attachment 75618
gari inauzwa ipo DAR, ni Toyota land cruiser GX, model 1993, 1hz engine, dalali hakuna coz bei imeeleweka hapo million 12/=.......inahitaji matengenezo ya body kidogo kwa kua maji ya chumvi yameila kidogo, injini ni mpya, tairi zote 4 mpya na spare 2, mawasiliano 0655517964

Kwa beoi twajwa ni wazi gari inakwenda karibu na bure! Lakini mkuu ungetwambia ni kilometa ngapi na kama ina documents zote zipo clear!!
 
View attachment 75618
gari inauzwa ipo DAR, ni Toyota land cruiser GX, model 1993, 1hz engine, dalali hakuna coz bei imeeleweka hapo million 12/=.......inahitaji matengenezo ya body kidogo kwa kua maji ya chumvi yameila kidogo, injini ni mpya, tairi zote 4 mpya na spare 2, mawasiliano 0655517964

Ina CC ngapi? Transmission?
 
Huyu aliyeleta hili tangazo la kuuza gari mbona hajibu hoja za watu? Hatuwezi kupiga simu kupoteza vijisenti vyetu wakati wengi tuna maswali hayo hayo ambayo huyu jamaa anapashwa atoe majibu.

Tiba
 
Mimi nawasiwasi na picha hii tunaomba picha ya sasa kama body imeliwa na chumvi sasa iweje picha hii iwe hivi?nikiunganidha dot napata jibu na kama hii gari naifahamu!
 
hiyo_ndio_picha_ya_sasaiv_so_far_kama_unaijua_hii_gari_sio_mbaya_pia_coz_gari_inatembea_sehemu_tofauti_tofauti
 
jaman_samahanini_kwakutokua_hewani_muda_mrefu_but_comments_zenu_wote_nimezisoma........gari_ina_km_120,354......ni_manual_haina_accident_record,_engine_mpyaaaaa.,_

kama_nilivyosema_inaleakage_kidogo_juu_ya_kioo_cha_mbele_kutokana_na_maji_ya_chumvi_hapa_dar

inakula_mafuta_kidogo_sanaaaaaaa

inahitaji_marekebisho_kidogo_tu_kama_kubadili_bushes,_na_service
 
utajuta!!kila kitu kimeoza lol

Acheni vijembe nyie, mtu amewaambia kabisa matatizo ya gari, tena gari hiyo unauziwa millioni kumi unategemea iwe mpya? Mtu akinunua hiyo anajua nini cha kufanya ili airudishe barabarani au aiuze kwa faida!
 
jaman_samahanini_kwakutokua_hewani_muda_mrefu_but_comments_zenu_wote_nimezisoma........gari_ina_km_120,354......ni_manual_haina_accident_record,_engine_mpyaaaaa.,_

kama_nilivyosema_inaleakage_kidogo_juu_ya_kioo_cha_mbele_kutokana_na_maji_ya_chumvi_hapa_dar

inakula_mafuta_kidogo_sanaaaaaaa

inahitaji_marekebisho_kidogo_tu_kama_kubadili_bushes,_na_service
Mkuu naona unatuingiza mkenge , toka 1993 mpaka 2013 ni miaka 20.
Na kama imetembea km 120,354 ina maana ilikuwa inatembea wastani wa kilometa 6000 kwa mwaka, au km 20 tu kwa mwezi!
 
mi ni dalali niletee nikuuzie faster nipo hapa kinondoni A 0772 00 66 88
 
Mkuu gari ya model ya mwaka 1993 sio kwamba ilianza kutembea hapa bongo mwaka 1993. Huo ni mwaka wa kutengenezwa ukifuatilia unaweza kuta iliingia hapa bongo mwaka 2003 tena ikiwa na kilometa hata 20000 tuu.
Hata hizi Verrosa mnazozikimbilia sasa hapa bongo ni model ya 2002, lakini inafika hapa na Km.25000 tuu.

Mkuu naona unatuingiza mkenge , toka 1993 mpaka 2013 ni miaka 20.
Na kama imetembea km 120,354 ina maana ilikuwa inatembea wastani wa kilometa 6000 kwa mwaka, au km 20 tu kwa mwezi!
 
Back
Top Bottom