Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
- Thread starter
- #21
Huu m'banango wa lugha uko mwingi mkuu, iko nyingine unamuuliza mtu "ee bwana umeshakula ? " anakujibu
"hamna"
(hapo ndy ana maana hajala) au "hizi Ng'ombe" badala ya hawa Ng'ombe.
"Hii Mbuzi siichinji" instead of huyu Mbuzi simchinji etc
Muda si mrefu chit chat watasema tumewavamia. Kuna taarifa kuwa wanafunzii wanafeli sana kiswahili siku hizi. Kiinglish hatupo, kiswahili hatupo... Halafu pia kuna wanaosema, (mfano) 'nyimbo ambayo iliyoimbwa'. Kwanza 'nyimbo' kosa, 'ambayo iliyoimbwa kosa.
Sahihi: wimbo ulioimbwa
Wimbo ambao umeimbwa