Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,739
(mfano)'...katika hilo tukaona kuwa tuboreshe sera ya kilimo ili iendane na wakati uliopo, sambamba na soko huria. Lakini la pili...' Kiukweli hapo wanasiasa, wasomi, na wataalam wetu huwa wananiacha hoi sana. Hii imekuwa wimbo wao. Wabadilishe sasa. Lakini la pili, sidhani kama ni matumizi sahihi ya lugha yetu adhimu ya Kiswahili.