Mwafrika mmoja
Member
- Mar 15, 2019
- 36
- 97
- Thread starter
- #21
Naam ushauri mzuriKukopa ndio tatizo pia, mimi napenda kuwashauri watu mkopo ni kuajiri ya kuendeleza au kukuza biashara ila sio wa kuanzishia biashara, sababu hujakumbana na changamoto yoyote ya biashara wala hujui mwelekeo ukoje wa soko sasa ukikopa litakuwa ni tatizo