Laizer unazingua sana

Laizer unazingua sana

Ndio tatizo letu kila anaetoa ushauri ni hater, though hakuna aliesema wimbo sio mtamu.
Hili ni janga la tanzania ndugu yani watu hawawazi kwamba unaweza kuwa upande flani ukaukosoa kwa nia njema ya kujenga.
Ukikosoa serikali basi we chadema ikikosoa chadema basi we ccm na hii iko hata kwenye mziki
 
Kama mnaona wanarudia tungeni zenu zisizojirudia
Mtu haitaji kuwa mpishi kujua kuwa hiki chakula kimekosa chumvu au haikajaiva vizuri.
Hauhitaji kuwa producer kujua hii beat imefanana na ile au huu mziki una kasoro flani...
Wasikilizaji ndiyo walaji wa mwisho wa bidhaa ya mziki na ndiyo wanaosema huu mziki uko hivi maana wasanii wanaimba kwa ajili ya watu wa kawaida ambao wengi wao siyo waimbaji mziki haimbwi kusikilizwa na wanamziki
 
Hili ni janga la tanzania ndugu yani watu hawawazi kwamba unaweza kuwa upande flani ukaukosoa kwa nia njema ya kujenga.
Ukikosoa serikali basi we chadema ikikosoa chadema basi we ccm na hii iko hata kwenye mziki
Inahuzunisha sana mahaba yanazidi wanataka hata Mtu akiharibu apigiwe makofi
 
Mtu haitaji kuwa mpishi kujua kuwa hiki chakula kimekosa chumvu au haikajaiva vizuri.
Hauhitaji kuwa producer kujua hii beat imefanana na ile au huu mziki una kasoro flani...
Wasikilizaji ndiyo walaji wa mwisho wa bidhaa ya mziki na ndiyo wanaosema huu mziki uko hivi maana wasanii wanaimba kwa ajili ya watu wa kawaida ambao wengi wao siyo waimbaji mziki haimbwi kusikilizwa na wanamziki
Nina imani atakua ameelewa, sijui ote tukiwa maproducer nani atakua msanii na nani atakua shabiki
 
Back
Top Bottom