Hater amka hicho ulichoandika hakihusiani na huo uziWakipingwa.. ndio unakuta wanatukanana na Akina Naibu Shonza ..
wcb hawatakagi kukosolewa
sample :Sikiliza vionjo vyenye nguvu upande wa bass na drums
Elewa mkuu kilichosemwa hapo, nyimbo ni nzuri tena sana ila uwezo wa producer umefika mwisho kama sisiemuacheni ....wivu wimbo mzuri..unasikilizika...unachezeka...tuache team.
Sound engineers ni tatizo sana kwa mziki wetu wa tz ndio maana unakuta mastering ya wimbo ni mbovu..Nimependa usikivu wa bass ulivyo na ndicho nilichosema producers, sound engineers na wasanii wa Tanzania inabidii wafanyie kazi eneo hilo na kuhakikisha platform kama ya Youtube usikivu uwe level ya kimataifa bila kujali lugha au mistari.