Laiti wananchi wangeisoma ripoti ya CAG mapema

Laiti wananchi wangeisoma ripoti ya CAG mapema

Endelea kuweweseka tu! Hivyo Wabunge wote wale hawana akili, ila mwenye akili ni wewe pekee. Wabunge wote wale hasa wa kamati ya PAC wengi wakiwa kutoka CCM wamekula rushwa ili kuwaonea wenzao? Hivi ni kweli kichwa chako kipo sawa? Hivi tu kwa kuikosesha tu serikali pesa yake ya kodi, hiyo tu pekee haitoshi mtu kuwajibika, achilia makandokando mengine? Pamoja na ushabiki, uwe na huruma na Watanzania wenzako.

Hata mh Rais wakati anahutubia wazee wa Dar, alikemea wabunge wa chama chake ambao walitetea kishabiki kuwa hakukua na ubadhirifu katika sakata la Escrow! Au hukumsikiliza? Kama alikemea, alikemea kitu gani kama siyo pasi na shaka kulikuwa na hila katika utoaji wa fedha husika.
Tukubaliane mambo fulani ya msingi:-
1. IPTL ina fedha zake tena nyingi katika ile Account
2. Tanesco nayo ina pesa zake baada ya ukokotoz upya wa bei
3. Serikali ina hela zake za kodi mabalimbali stahiki kulipwa. Na kitendo tu cha kukwepa kodi ile ilitakiwa mtu awe mahabusu.
4. PAC kama binadamu lazima kwenye ripoti yao itakuwa ina mapungufu kwa kiasi fulani. Lakini hiyo haiwez kuondoa ukweli wa taarifa yao. Kumbuka CAG alihojiwa kwa kiapo na PCCB walitoa taarifa yao pia. Tukumbuke pia Ripoti iliwasilishwa Bungeni watu wakaisoma na kuchangia. Hata maazimio ni ya Bunge zima siyo PAC tena!

1. Taarifa ya PAC ilichanwa chanwa na Prof. Muhongo alipotoa msimamo wa Serikali Bungeni.

2. Kwani wabunge wa CCM hawawezi kuwa wajasiliamali wa kisiasa, kama wengi wa waliochangia walivyoonyesha?

3. Suala la ukokotoaji halina mantiki hasa pale linapojengwa kwenye ushauri wa Mkono Advocates & Co aliyeipotosha TANESCO kugomea utekelezaji wa maamuzi ya ICSID 1 ya Mwaka 2001, yaliyoipatia ushindi TANESCO na kushusha gharama kutoka US$ 3.6 hadi US$ 2.6 kwa kuzingatia gharama za mtaji wa wawekezaji. Badala yake Mkono akashauri wagomee hata maamuzi hayo kwa madai ya kwamba mtaji wa IPTL ni Sh. 50,000/= tu.

4. Hivi kweli inakuingia akilini kwamba huo ulikuwa ni ushauri mzuri wenye kutumia hata chembe ya akili kwa TANESCO? Ndiyo maana hata TANESCO yenyewe baadaye waliutilia mashaka wakaomba ushauri wa ziada kutoka kwa kampuni ya uwakili ya Hunton and Williams ya Marekani, ambayo iliuona ushauri huo kuwa ulikuwa ni dhaifu na haukuwa na mantiki.

5. Zito bado anarudi na hoja za ukokotoaji wa capacity charges kwa kutumia mtaji wa Sh. 50,000/= na kwa ujanja anaingiza ICSID 2 ambayo inawahusu SCB na bado watanzania hamuoni kwamba huyu mtu alikuwa anatumiwa? Tukubaliane, kama alivyosema Rais mwenyewe na ukweli ulivyo hili jambo lina historia ndefu na masuala mengi ya kisheria. Kwa hiyo ni vigumu kwa wengi kulielewa na kuweza kuchangia kwa mantiki na hoja. Umejaribu lakini bado hujaelewa vizuri.
 
Ukimsoma vyema CAG utaielewa vyema ripoti nzima,hasa kwa wale wenye TAALUMA yao kwa maana ya WAKAGUZI na WAHASIBU.

Pesa ni ya wizi sababu zangu kuu zaweza kuwa tatu au nne.:

1.Pesa ile ilikuwa bado iko kwenye mgogoro wa pande mbili na ulikuwa unasubiri suluhisho toka MAHAKAMA ya kimataifa kuhusu uchakachuaji wa bei ya umeme iliyokuwa inalipwa na TANESCO kwa IPTL,kwa kuwa walalamikaji waliona wanalipa toza kubwa kuliko ilivyotakiwa,hivyo walifungua kesi na bahati nzuri walishinda,lakini hakuna mchanganuo uliokwihsa fanyika wakuweza kujua pesa za IPTL ni ngapi na za TANESCO ni ngapi,hivyo kwa mantiki hii pesa za UMMA hapa zimepigwa na wajanja.

2.Hakimu hakutoa maamuzi pesa hizi zilipwe kwa PAP kwa maana bado kesi ilikuwa ipo mahakamani kuhusu TOZO na mchanganuo wa pesa hizi haujafanywa hivyo kusema MAHAKAMA imeamua hata zile pesa zilizokuwepo kwenye account yenye pesa za wahusika wengi ni za PAP siyo sahihi,basi hapa wale wachache wanaojua kutumia ELIMU yao waliyoipata kwa KODI ya mtanzania vibaya wakaamua kuchota kisichohalali kutumia ELIMU yao hii kwa maana ya AG wetu,hakuwa na sababu ya kutoa idhini pesa zilipwe wakati anajua wazi si sahihi,lakini kwa sababu zake mwenyewe na wahusika aliamua kupindisha HUKUMU kwa maslahi yao wachache.

3.Kuna kodi hapo haikulipwa na ilitakiwa kulipwa kabla malipo hayajafanyika,hivyo basi hata hili nalo halikuonekana kuwa ni baya kwa viongozi wetu wakatumia vibaya mwanya wa elimu na nafasi waliyonayo kufanya maamuzi mabaya na kuhujumu mali ya umma.

4.Pesa ni ya IPTL si ya PAP kwa nini walipwe PAP na si IPTL?Na hapa hata leo JR akienda mahakamani kuishtaki serikali kuhusiana na pesa yake iliyokuwemo kwenye hii account anashinda tena kwa kishindo,sababu ana haki juu ya FAIDA iliyotokana na mauzo ya umeme baada ya kukokotoa TOZO halali,na kila muhusika kuchukua cha kwake kulingana na mahesabu.

5.Hivi serikali ilishindwa nini kufuatilia uhalali wa huyu singasinga kununua hisa za MERCHMAR?Na siyo kweli kwamba walikuwa hawamjui huyu kuwa ni TAPELI la kutupwa,amefilisika wanajua vyema sana kila kitu,lakini waliamua kufanya sababu walikuwa wanajinufaisha wao na familia zao!

Leo tuna mtu aliyepewa ZABUNI ya kuendeleza reli ya kati,na wanajua mtu huyu amefilisika na sheria za kufilisiwa wenzetu wanasheria wanazijua na hasa Mwakyembe iweje leo tumkumbatie mtu aliyefilisika,tunatafuta nini kwake zaidi ya kuliumiza TAIFA kiuchumi?

6.Jiulize ni kwa nini MASWI mpaka dakika za mwisho alikataa kuidhinisha pesa hizi kutoka,ila ni baada tu ya WAKUU wa nchi kuidhinisha pesa zitoke ndipo alipokubali kutoa,hebu tufikirie alilipwa ngapi?Je alitishwa ili akubali?Alifanywa nini huyu mtu,mpaka alidiriki kusema wakimwaga MBOGA atamwaga UGALI

Haya ndiyo mambo makuu ambayo ukiyaangalia vyema si MUHONGO,WEREMA,MASWI wala RAIS angediriki kuuchekea wizi huu.Ila sababu wote hawa wamekosa uhalali wa kuwa viongozi,wamelewa madaraka,si wazalendo hata kidogo,ni sawa na mwizi aliyeshindwa kumuibia jirani akaamua kujiibia mwenyewe.

Tujitahidi kuwa WAZALENDO tuwe tayari kulinda maslahi ya TAIFA letu,tuwe wamoja,tuwe TAIFA kwanza VYAMA baadaye.Tuchague viongozi wenye WELEDI,WAOGA wa MUNGU,WANYENYEKEVU,WAZALENDO,WATAKAO KUWA TAYARI KULIFIA TAIFA LAO.

Haya ndiyo maoni yangu,kwa TAALUMA yangu hizi pesa zipo za TANESCO,za TRA na za IPTL,hivyo kilichofanywa na viongozi wetu ni kuliibia TAIFA lao mchana kweupe,wakishirikiana na wanaowaita wawekezaji,ambao ni MATAPELI.

Na leo Sethi kanunua visima vya mafuta,hakuja na pesa zaidi ya ile $300,000,tumempa mamilioni ya dollar,hivi kweli VIONGOZI wetu wanafikiri kutumia nini?Hivi kwenye vichwa vyao kuna maji au ubongo?Hivi ni kweli walipoenda shule wameelimika au wameenda kuja kusoma na kuandika tu?

Candid Scope haya ni mawazo yangu kulingana na TAALUMA yangu,sijahongwa wala sitegemei kuhongwa sababu UTU wangu hauna bei.

Kwanza nikupongeze wewe pekee umekuja na hoja zenye kufikirisha tofauti na wengine kuna mihemuko na kasumba tu bila hoja za uchambuzi kama ulivyofanya.
  1. Nakubaliana nawe kwamba pesa hiyo ilikuwa na mgogoro, na ukweli mgogoro huo umesababishwa na watumishi wa serikali, hili liko wazi.
  2. Kama kesi ilikuwa mahakamani na haikutolewa hukumu iliwezekanaje pesa ichukuliwe wakati inalindwa na mahakama na kesi haijaisha? Je kuna uzembe wa mhimili mwingine wa dola?
  3. James Rugemalila ameshaenda mahakamani kuidai serikali naona patafuka moshi mzito. Vinginevyo serikali iamue kukaa naye meza moja wayamalize vinginevyo akishinda kesi serikali itakamuliwa zaidi.
  4. Serikali kumruhusu Tapeli Singasinga ni ule mpango unaolalamikiwa siku zote kwamba wageni wanapewa nafasi kwa vile wako tayari kutoa ile 10%, ni shauri ya masilahi binafsi ya watumishi wa umma dhidi ya umma.
  5. Maswi kukataa kuidhinisha pesa wakati watumishi wengine wanashinikiza pesa ichukuliwe ni kile kinachonekana virus ndani ya serikali hii kila mmoja anafanya mambo kivyake tu hakuna mawaziliano na uwajibikaji wa pamoja, hii ni kutokana na kutanguliza ulaji binafsi badala ya wajibu kwa umma wanaoutumikia.

Hoja zako ni za msingi, lakini pesa ile ilikuwa ni malipo ya Tanesco kwa umeme waliouziwa, ambaye alikuwa halali kupata pesa hiyo pamoja na uchambuzi wako bado inaonekana kitendawili tokana na makosa makubwa yaliyofanywa na serikali. Hivyo basi pesa kimkataba si ya wizi ila mazingira ya ulipaji, mikataba fake na ya ujanjaujanja ndivyo vinavyoleta utata na kuzua maswali mengi.

Serikali imeridhia sasa kudai tu kodi toka kwa waliolipwa pesa hizo kadiri ya maelezo ya Naibu waziri wa fedha Mchemba. Ukweli anayetakiwa kudaiwa kodi si waliogawiwa pesa na wanaweza kudai kinga ya mahakama, anayetakiwa kulipa kodi ni aliyelipwa pesa hizo Singasinga na Rugemalila.
 
Kumbe ulisikia vizuri kwamba pesa zile hazikuwa za umma! Sasa tatizo liko wapi? Hiyo ndio hoja ya msingi. Na kama ni hivyo, kwa nini Zitto na malimbukeni wenzake wanaendelea kudai kuwa zilikuwa za umma? Hayo ndio maswali ya kujiuliza.

Sasa kama sio za Umma CAG alienda kukagua nini ?
Unajua kazi ya CAG wewe ?
na kwanini Pesa zilitolewa kabla Mgogoro wa TANESCO na IPTL haujafikia tamati ?
Wewe ni miongoni mwa wale Mapunguani ambao hamjitambui.
Bora hata mngekuwa mmelamba mlungula tungesema mnajitetea,hata sent tano hamkupata ila mnakuja hapa Mikia juu na Povi kama ma Mbwa kutetea
 
Ukimsoma vyema CAG utaielewa vyema ripoti nzima,hasa kwa wale wenye TAALUMA yao kwa maana ya WAKAGUZI na WAHASIBU.

Pesa ni ya wizi sababu zangu kuu zaweza kuwa tatu au nne.:

1.Pesa ile ilikuwa bado iko kwenye mgogoro wa pande mbili na ulikuwa unasubiri suluhisho toka MAHAKAMA ya kimataifa kuhusu uchakachuaji wa bei ya umeme iliyokuwa inalipwa na TANESCO kwa IPTL,kwa kuwa walalamikaji waliona wanalipa toza kubwa kuliko ilivyotakiwa,hivyo walifungua kesi na bahati nzuri walishinda,lakini hakuna mchanganuo uliokwihsa fanyika wakuweza kujua pesa za IPTL ni ngapi na za TANESCO ni ngapi,hivyo kwa mantiki hii pesa za UMMA hapa zimepigwa na wajanja.

2.Hakimu hakutoa maamuzi pesa hizi zilipwe kwa PAP kwa maana bado kesi ilikuwa ipo mahakamani kuhusu TOZO na mchanganuo wa pesa hizi haujafanywa hivyo kusema MAHAKAMA imeamua hata zile pesa zilizokuwepo kwenye account yenye pesa za wahusika wengi ni za PAP siyo sahihi,basi hapa wale wachache wanaojua kutumia ELIMU yao waliyoipata kwa KODI ya mtanzania vibaya wakaamua kuchota kisichohalali kutumia ELIMU yao hii kwa maana ya AG wetu,hakuwa na sababu ya kutoa idhini pesa zilipwe wakati anajua wazi si sahihi,lakini kwa sababu zake mwenyewe na wahusika aliamua kupindisha HUKUMU kwa maslahi yao wachache.

3.Kuna kodi hapo haikulipwa na ilitakiwa kulipwa kabla malipo hayajafanyika,hivyo basi hata hili nalo halikuonekana kuwa ni baya kwa viongozi wetu wakatumia vibaya mwanya wa elimu na nafasi waliyonayo kufanya maamuzi mabaya na kuhujumu mali ya umma.

4.Pesa ni ya IPTL si ya PAP kwa nini walipwe PAP na si IPTL?Na hapa hata leo JR akienda mahakamani kuishtaki serikali kuhusiana na pesa yake iliyokuwemo kwenye hii account anashinda tena kwa kishindo,sababu ana haki juu ya FAIDA iliyotokana na mauzo ya umeme baada ya kukokotoa TOZO halali,na kila muhusika kuchukua cha kwake kulingana na mahesabu.

5.Hivi serikali ilishindwa nini kufuatilia uhalali wa huyu singasinga kununua hisa za MERCHMAR?Na siyo kweli kwamba walikuwa hawamjui huyu kuwa ni TAPELI la kutupwa,amefilisika wanajua vyema sana kila kitu,lakini waliamua kufanya sababu walikuwa wanajinufaisha wao na familia zao!

Leo tuna mtu aliyepewa ZABUNI ya kuendeleza reli ya kati,na wanajua mtu huyu amefilisika na sheria za kufilisiwa wenzetu wanasheria wanazijua na hasa Mwakyembe iweje leo tumkumbatie mtu aliyefilisika,tunatafuta nini kwake zaidi ya kuliumiza TAIFA kiuchumi?

6.Jiulize ni kwa nini MASWI mpaka dakika za mwisho alikataa kuidhinisha pesa hizi kutoka,ila ni baada tu ya WAKUU wa nchi kuidhinisha pesa zitoke ndipo alipokubali kutoa,hebu tufikirie alilipwa ngapi?Je alitishwa ili akubali?Alifanywa nini huyu mtu,mpaka alidiriki kusema wakimwaga MBOGA atamwaga UGALI

Haya ndiyo mambo makuu ambayo ukiyaangalia vyema si MUHONGO,WEREMA,MASWI wala RAIS angediriki kuuchekea wizi huu.Ila sababu wote hawa wamekosa uhalali wa kuwa viongozi,wamelewa madaraka,si wazalendo hata kidogo,ni sawa na mwizi aliyeshindwa kumuibia jirani akaamua kujiibia mwenyewe.

Tujitahidi kuwa WAZALENDO tuwe tayari kulinda maslahi ya TAIFA letu,tuwe wamoja,tuwe TAIFA kwanza VYAMA baadaye.Tuchague viongozi wenye WELEDI,WAOGA wa MUNGU,WANYENYEKEVU,WAZALENDO,WATAKAO KUWA TAYARI KULIFIA TAIFA LAO.

Haya ndiyo maoni yangu,kwa TAALUMA yangu hizi pesa zipo za TANESCO,za TRA na za IPTL,hivyo kilichofanywa na viongozi wetu ni kuliibia TAIFA lao mchana kweupe,wakishirikiana na wanaowaita wawekezaji,ambao ni MATAPELI.

Na leo Sethi kanunua visima vya mafuta,hakuja na pesa zaidi ya ile $300,000,tumempa mamilioni ya dollar,hivi kweli VIONGOZI wetu wanafikiri kutumia nini?Hivi kwenye vichwa vyao kuna maji au ubongo?Hivi ni kweli walipoenda shule wameelimika au wameenda kuja kusoma na kuandika tu?

Candid Scope haya ni mawazo yangu kulingana na TAALUMA yangu,sijahongwa wala sitegemei kuhongwa sababu UTU wangu hauna bei.

1. Hizi bado ni jazba na hisia hakuna unapoweka rejea kwenye Ripoti ya CAG kwa kifungu. Soma Ripoti kwanza siyo kuongelea uliyoyasikia kwa Zito. Masuala ya recalculation nimekwisha yajadili kwenye Uzi huu, kwamba hayana msingi na hayawezi kubadilisha ukweli kwamba IPTL/ PAP bado inaidai TANESCO.

2. Kuhusu masuala ya kodi ni kitu tofauti, TRA wanao uwezo wa kudai kodi kama zipo maana VAT in input na output kwa hiyo upo uwezekano wa TRA ikawa inadaiwa pia. Kwa hiyo kutumia kigezo cha kuwepo na component ya kodi ya VAT kuhalalisha kulikuwepo na WIZI wa fedha za umma kwenye Tegeta Escrow Account, ni kupotosha na kufanya uchochezi.
 
Sasa kama sio za Umma CAG alienda kukagua nini ?
Unajua kazi ya CAG wewe ?
na kwanini Pesa zilitolewa kabla Mgogoro wa TANESCO na IPTL haujafikia tamati ?
Wewe ni miongoni mwa wale Mapunguani ambao hamjitambui.
Bora hata mngekuwa mmelamba mlungula tungesema mnajitetea,hata sent tano hamkupata ila mnakuja hapa Mikia juu na Povi kama ma Mbwa kutetea

1. Matumizi ya maneno yasiyofaa hayakufanyi uonekane muungwana. Hapa ni mahala pa mjadala. Jenga hoja uheshimike hata kama haitakubalika, lakini usijivunjie heshima na kuudhalilisha utu wako.

2. Endapo ungelikubali kufuatilia suala hili bila jazba walau ungelikuwa umemsikiliza Rais Kikwete kwa ufafanuzi alioutoa. Alisema na kurejea CAG Ripoti ya mwaka 2012 iliyogundua tatizo la TANESCO kuendelea kuzihesabu fedha za Tegeta Escrow Account kama mali yao na kutoa mapendekezo ya kufanya marekebisho ili zisionekane kuwa ni mali yao na wala hawakushauri kufuta kama Zito alivyopotosha kwa makusudi!
 
Mi naomba mwenye ripoti ya CAG tuisome kisha ndo tuamue which is which,halafu kauli zenu haziendani na slogan ya forum hii.Hivyo basi ngeomba tuwe na kauli nzur,tujadili kwa undani,uwazi na ukweli na sio hisia na umakundi
 
1. Matumizi ya maneno yasiyofaa hayakufanyi uonekane muungwana. Hapa ni mahala pa mjadala. Jenga hoja uheshimike hata kama haitakubalika, lakini usijivunjie heshima na kuudhalilisha utu wako.

2. Endapo ungelikubali kufuatilia suala hili bila jazba walau ungelikuwa umemsikiliza Rais Kikwete kwa ufafanuzi alioutoa. Alisema na kurejea CAG Ripoti ya mwaka 2012 iliyogundua tatizo la TANESCO kuendelea kuzihesabu fedha za Tegeta Escrow Account kama mali yao na kutoa mapendekezo ya kufanya marekebisho ili zisionekane kuwa ni mali yao na wala hawakushauri kufuta kama Zito alivyopotosha kwa makusudi!

Wewe umesoma report ya CAG au una reffer Ngonjera za Msanii JK ?
Na kuna sababu gani ya yeye kusema anamuweka Kiporo Muhongo ?
Je,huo uchunguzi aliosema utafanywa ni wa kuchunguza nini kama pesa ni za IPTL 100% ?
Na kwanini waliopewa mgao na Ruge now wanaambiwa walipe Kodi.
Mimi nikikuwekea laki moja kwenye account yako itabid uilipie kodi sio ?
Narudia kusema,wewe ni Punguani unayeshabikia kitu usichokijua
 
Hapa nachokiona mimi tukijibu maswali haya tunaweza kupata mwelekeo mzuri


1.Pesa ni za umma au sio za umma.
Kama pesa ni za umma taratibu zifutwe ili ziweze kurudishwa.

Kama si za umma bunge lirudishe fedha zilizitumika kujadili swala lisilo na maslahi ya umma.

2.Je kwa kukosa kutekeleza mapandekezo yote ya bunge kuna athari gani kwa taifa.

Kama kuna athari basi hatua zichukuliwe haraka.


Kama hakuna athari basi lets save time tufanye mambo mengine


NB. Kuna haja ya mikataba kuwa inawekwa wazi ili kuondoa such kind of flaws..kwa sababu kwa ujumla rasilimali ni za wananchi so hamna kitu cha kuficha..bunge lingekuwa linaipitia .
 
Wewe umesoma report ya CAG au una reffer Ngonjera za Msanii JK ?
Na kuna sababu gani ya yeye kusema anamuweka Kiporo Muhongo ?
Je,huo uchunguzi aliosema utafanywa ni wa kuchunguza nini kama pesa ni za IPTL 100% ?
Na kwanini waliopewa mgao na Ruge now wanaambiwa walipe Kodi.
Mimi nikikuwekea laki moja kwenye account yako itabid uilipie kodi sio ?
Narudia kusema,wewe ni Punguani unayeshabikia kitu usichokijua

Acha jazba. Unajidhalilisha na kuwafanya wasomaji hata kama hatukufahamu lkn tunaelewa wewe siyo mstaarabu au muungwana kwa maneno unayoyaandika. Jenga hoja na siyo kutumia hoja ya nguvu. Kama huna hoja, soma hoja za wengine uelimike. Huwezi kamwe kunivutia nibadilike na mimi nitumie maneno kama ya kwako, sina cha kujifunza kwako.
 
Acha jazba. Unajidhalilisha na kuwafanya wasomaji hata kama hatukufahamu lkn tunaelewa wewe siyo mstaarabu au muungwana kwa maneno unayoyaandika. Jenga hoja na siyo kutumia hoja ya nguvu. Kama huna hoja, soma hoja za wengine uelimike. Huwezi kamwe kunivutia nibadilike na mimi nitumie maneno kama ya kwako, sina cha kujifunza kwako.

Wacha kulia lia na kutafuta Public Sympathy.

Narudia kukuuliza.

1. Umesoma report ya CAG yote au una argue based on yaliyo toka mdomoni kwa JK ?
2. Huo uchunguzi unaosemwa unaenda kuchunguza nini kama JK kashasema fedha ni za IPTL 100% ?
3.Unajua kazi ya CAG wewe ?
4. Kwanini waliopewa mgao na Ruge now wametumiwa Ankra za kulipa kodi ?
5. Nikikuingizia 100,000TZS kwenye account yako utaenda kulipa kodi ?
6. Umeisoma vyema na kuilewa hukumu ya Jaji Utamwa ?
7. Kwanini IPTL walilipwa fedha kabla Mgogoro wake na TANESCO kufikiwa Muafaka ?
8. Unaijua sheria ya inayo limit bank yoyote kuwa na more than 5 Billion TZS Cash kwenye Makabati yake/Miundombinu ya kuhifadhia pesa in one day ?

Acha kulia kulia,umeleta uzi,isitegemee kila mtu kuchangia unavyotaka wewe,jibu hayo Maswali hapo juu.
Ukishindwa tunarudi pale pale,wewe ni Punguani unayecheza Ngoma mbayo huijui
 
kwa akili hizi kweli kupata maendeleo halisi ni ndoto,yaani kuna watu tena mbaya zaidi ni vijana wanatetea maovu yanayofanyika hapoa nchini kwetu kisa tu kuipenda ccm au?

Maovu yapi? Hebu yathibitishe.
 
Iwapo wananchi wangepata fursa ya kuisoma ripoti ya CAG kuhusu uchunguzi wa Akaunti ya Escrow ya Tegeta kabla ya kumsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) alipowasilisha taarifa yake bungeni bila shaka wangegundua uongo wa wazi uliotolewa na kamati hiyo. Rais Kikwete alitambua udhaifu wa taarifa ya PAC ndio maana aliagiza ripoti ya CAG isambazwe na kusomwa, kabla hata yeye hajafikia maamuzi. Na kwa hakika maamuzi na ufafanuzi wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba fedha iliyokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta ni ya IPTL yamezingatia ripoti ya CAG.



Suala hili la Escrow limetoa kipimo kizuri cha mfumo wetu wa elimu hapa Tanzania.Hivi kama kweli pesa zote zilikuwa mali ya IPTL kwa nini nchi wafadhili zimesimamisha misaada yake ya kibajeti.Ina maana wao pamoja na kuwa na timu mahiri za washauri wa kiuchumi na kisheria hawajui kitu kulinganisha na sisi kina mangaukawa na kiruruma.
Lazima tukubali kuna makosa yamefanyika katika kutoa pesa za kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.Tukumbuke akaunti hii ilifunguliwa kufuatia mgogoro wa ukokotoaji Capacity Charge baina ya TANESCO na IPTL.Kuna kesi ilikuwa inaendelea ICSID London baina ya IPTL na TANESCO na ilikuwa haijaisha wakati majambazi yalipozitoa pesa kwenye ESCROW account.Kibaya zaidi hukumu ya ISCID imetoka february 2014 TANESCO wakiwa washindi, na walipewa mpaka MAY 2014 wawe wamekokotoa upya gharama za tozo ya Capacity Charge baina yao na IPTL.
Mpaka muda hii hizo hesabu hazijafanyika,kwa sababu zikifanyika kiasi kikubwa cha pesa za ESCROW zinarudi TANESCO na tayari zimeishaliwa.

International Arbitration and Transnational Litigation | Practices | Hunton & Williams LLP
 
Wacha kulia lia na kutafuta Public Sympathy.

Narudia kukuuliza.

1. Umesoma report ya CAG yote au una argue based on yaliyo toka mdomoni kwa JK ?
2. Huo uchunguzi unaosemwa unaenda kuchunguza nini kama JK kashasema fedha ni za IPTL 100% ?
3.Unajua kazi ya CAG wewe ?
4. Kwanini waliopewa mgao na Ruge now wametumiwa Ankra za kulipa kodi ?
5. Nikikuingizia 100,000TZS kwenye account yako utaenda kulipa kodi ?
6. Umeisoma vyema na kuilewa hukumu ya Jaji Utamwa ?
7. Kwanini IPTL walilipwa fedha kabla Mgogoro wake na TANESCO kufikiwa Muafaka ?
8. Unaijua sheria ya inayo limit bank yoyote kuwa na more than 5 Billion TZS Cash kwenye Makabati yake/Miundombinu ya kuhifadhia pesa in one day ?

Acha kulia kulia,umeleta uzi,isitegemee kila mtu kuchangia unavyotaka wewe,jibu hayo Maswali hapo juu.
Ukishindwa tunarudi pale pale,wewe ni Punguani unayecheza Ngoma mbayo huijui

1. Ninarudia tena, kutumia lugha za kuudhi siyo uungwana hata kidogo.

2. Katika orodha yako ya uliyoyaita maswali, bado sijaona swali lilojengwa kwa mantiki na hoja, kwa hiyo sioni cha kujibu.

3. Ninakushauri urejee tena katika hoja zangu zote nilizozitoa kwenye Uzi huu, utapata kuyafahamu japo machache yaliyojengeka kwenye msingi wa ukweli.
 
Mwenye post hii kichwa maji,hajielewi wala kujitambua.
Funga domo kama haujui nchi inaendeshwaje.
 
Kwanza nikupongeze wewe pekee umekuja na hoja zenye kufikirisha tofauti na wengine kuna mihemuko na kasumba tu bila hoja za uchambuzi kama ulivyofanya.
  1. Nakubaliana nawe kwamba pesa hiyo ilikuwa na mgogoro, na ukweli mgogoro huo umesababishwa na watumishi wa serikali, hili liko wazi.
  2. Kama kesi ilikuwa mahakamani na haikutolewa hukumu iliwezekanaje pesa ichukuliwe wakati inalindwa na mahakama na kesi haijaisha? Je kuna uzembe wa mhimili mwingine wa dola?
  3. James Rugemalila ameshaenda mahakamani kuidai serikali naona patafuka moshi mzito. Vinginevyo serikali iamue kukaa naye meza moja wayamalize vinginevyo akishinda kesi serikali itakamuliwa zaidi.
  4. Serikali kumruhusu Tapeli Singasinga ni ule mpango unaolalamikiwa siku zote kwamba wageni wanapewa nafasi kwa vile wako tayari kutoa ile 10%, ni shauri ya masilahi binafsi ya watumishi wa umma dhidi ya umma.
  5. Maswi kukataa kuidhinisha pesa wakati watumishi wengine wanashinikiza pesa ichukuliwe ni kile kinachonekana virus ndani ya serikali hii kila mmoja anafanya mambo kivyake tu hakuna mawaziliano na uwajibikaji wa pamoja, hii ni kutokana na kutanguliza ulaji binafsi badala ya wajibu kwa umma wanaoutumikia.

Hoja zako ni za msingi, lakini pesa ile ilikuwa ni malipo ya Tanesco kwa umeme waliouziwa, ambaye alikuwa halali kupata pesa hiyo pamoja na uchambuzi wako bado inaonekana kitendawili tokana na makosa makubwa yaliyofanywa na serikali. Hivyo basi pesa kimkataba si ya wizi ila mazingira ya ulipaji, mikataba fake na ya ujanjaujanja ndivyo vinavyoleta utata na kuzua maswali mengi.

Serikali imeridhia sasa kudai tu kodi toka kwa waliolipwa pesa hizo kadiri ya maelezo ya Naibu waziri wa fedha Mchemba. Ukweli anayetakiwa kudaiwa kodi si waliogawiwa pesa na wanaweza kudai kinga ya mahakama, anayetakiwa kulipa kodi ni aliyelipwa pesa hizo Singasinga na Rugemalila.

Tunasema pesa ni ya wizi sababu UMMA watanzania ndiyo tuliyoibiwa,kumbuka kuna pesa halali ya TANESCO na TRA na ni sababu hizi ulizozitaja za kutumia madaraka vibaya ili kupora mali za umma

Pili yake hukumu ya kuchakachua TOZO ilishakuja na TANESCO walishinda na MAHAKAMA iliwaambia TANESCO wakokotoe pesa yao ili kujua nani alipwe nini.

Sasa leo ukiniambia hakuna pesa ya UMMA nitakushangaa,na ndiyo maana nawashangaa wale tuliowapa dhamana wamekuwa MAPANYA wakitoboa magunia na hakuna kinachofanyika.PANYA ni PANYA,hakuna PAKA wakumfunga kengele PANYA maana hakuna PAKA tena huko serikalini,tuliowadhania ni PAKA ghafla wamegeuka MAPANYA na dniyo maana PANYA mkubwa anamshangaa CAG kwa nini bado yu PAKA!

Serikali imeridhia WIZI huu sababu ndiyo wanufaikaji hasa wa hizi pesa za WIZI.

Hata NCHEMBA mwenyewe anachofanya ni kujitahidi au kujaribu kuzisafisha pesa hizi ziwe SAFI,kaka haziwezi kuwa safi hata zisafishwe na JIKI bado ni CHAFU tu.

Wote wanalindana hata NCHEMBA anajitahidi kuwalinda wenzake na ndiyo maana anapiga domo zilipiwe kodi.KAka pesa za umma zimepigwa,tusiwafumie macho hawa MAJAMBAZI,tuwaambie ukweli tena kwa sauti kubwa,warudishe fedha za UMMA na sheria ichukue mkondo wake!!!!!
 
Suala hili la Escrow limetoa kipimo kizuri cha mfumo wetu wa elimu hapa Tanzania.Hivi kama kweli pesa zote zilikuwa mali ya IPTL kwa nini nchi wafadhili zimesimamisha misaada yake ya kibajeti.Ina maana wao pamoja na kuwa na timu mahiri za washauri wa kiuchumi na kisheria hawajui kitu kulinganisha na sisi kina mangaukawa na kiruruma.
Lazima tukubali kuna makosa yamefanyika katika kutoa pesa za kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.Tukumbuke akaunti hii ilifunguliwa kufuatia mgogoro wa ukokotoaji Capacity Charge baina ya TANESCO na IPTL.Kuna kesi ilikuwa inaendelea ICSID London baina ya IPTL na TANESCO na ilikuwa haijaisha wakati majambazi yalipozitoa pesa kwenye ESCROW account.Kibaya zaidi hukumu ya ISCID imetoka february 2014 TANESCO wakiwa washindi, na walipewa mpaka MAY 2014 wawe wamekokotoa upya gharama za tozo ya Capacity Charge baina yao na IPTL.
Mpaka muda hii hizo hesabu hazijafanyika,kwa sababu zikifanyika kiasi kikubwa cha pesa za ESCROW zinarudi TANESCO na tayari zimeishaliwa.

International Arbitration and Transnational Litigation | Practices | Hunton & Williams LLP

1. Nimefurahishwa na wewe kukiri kuwa kuna tatizo kwenye mfumo wa elimu. Hili kina Zito walilitambua kwamba wakilitumia watafanikiwa na hiki ndicho wewe unakitibitisha.

2. Ushiriki wa Balozi wa Uingereza nchinina Standard Chartered Bank katika jambo hili bado hujaweza kuuelewa na kukuhusisha na jitihada za kuweka shinikizi kwa wahisani kusitisha misaada. Hizi zote ni mbinu za kuisaidia SCB ilipwe fedha isizostahili.

3. Nimekwishatoa maelezo ya mgogoro wa capacity charges na recalculation ikiwa ni pamoja na maamuzi ya ICSID 1 ya 2001 nakushauri urudi nyuma ufuatilie pengine utaelewa.

4. Upende au usipende, PAC iliudanganya umma katika mapendekezo yake. Hili suala ni la muda mrefu na lina mambo mengi ya kisheria. Huwezi tu kumsikiliza Zito ambaye alipotosha mambo alafu ukachangia na kueleweka.
 
1. Hizi bado ni jazba na hisia hakuna unapoweka rejea kwenye Ripoti ya CAG kwa kifungu. Soma Ripoti kwanza siyo kuongelea uliyoyasikia kwa Zito. Masuala ya recalculation nimekwisha yajadili kwenye Uzi huu, kwamba hayana msingi na hayawezi kubadilisha ukweli kwamba IPTL/ PAP bado inaidai TANESCO.

2. Kuhusu masuala ya kodi ni kitu tofauti, TRA wanao uwezo wa kudai kodi kama zipo maana VAT in input na output kwa hiyo upo uwezekano wa TRA ikawa inadaiwa pia. Kwa hiyo kutumia kigezo cha kuwepo na component ya kodi ya VAT kuhalalisha kulikuwepo na WIZI wa fedha za umma kwenye Tegeta Escrow Account, ni kupotosha na kufanya uchochezi.

Tunatoifautiana uelewa ndugu.Mie ni MHASIBU na nikisoma ripori ya CAG nasoma kwa umakini mkuu,kujua maana halisi ya kwanini CAG amesema alichosema.

Hakuna MHASIBU au MKAGUZI atakayekwambia kulikuwa hakuna pesa za UMMA,Mchezo mchafu umechezwa na viongfozi tuliowapa madaraka.

Hakuna mahali pesa iwe ya IPTL ikalipwe PAP,hii kitu hakuna mahali popote duniani.Hakuna HAKIMU atakayetoa ruhusa ya kulipa pesa zenye MALUMBANO hakuna duniani kote.

Hivyo ndivyo ilivyo.Pole uelewa wetu wa ripoti unatofautiana,sijajibu kwa jazba nimejibu kulingana na TAALUMA yangu.JAzba ni wewe umeiona sababu tumeielewa tofauti ripoti hii.Rudi muulize MKAGUZI CAG ana maana gani?Utapata maelekezo mazuri zaidi.
 
1. Ninarudia tena, kutumia lugha za kuudhi siyo uungwana hata kidogo.

2. Katika orodha yako ya uliyoyaita maswali, bado sijaona swali lilojengwa kwa mantiki na hoja, kwa hiyo sioni cha kujibu.

3. Ninakushauri urejee tena katika hoja zangu zote nilizozitoa kwenye Uzi huu, utapata kuyafahamu japo machache yaliyojengeka kwenye msingi wa ukweli.

Hakuna haja ya kurudia porojo zako ambazo umezijenga based on Hotuba ya JK.
Looks like hata hiyo report ya CAG hujawahi kuitia hata machoni,achilia kuisoma,umekalia ushabiki wa vitu usivyovijua.
Pia unaonekana hata hukumu ya Jaji Utamwa ambao ndio Msingi wa Mgogoro huu huijui na wala hauko aware kuwa kuna kiti kama hicho.

Narudia kusema only Punguani can argue the way you do.
 
Siri imeshafichuka. Nimrod Mkono na Mengi ndio wafadhili wakubwa wa kinachoitwa kashfa ya Escrow. Wote wawili wameathiriwa na msimamo wa Prof. Muhongo. Wakati Mkono alitimuliwa kama wakili aliyekuwa anaiibia Tanesco kwa kudai legal fees kubwa kupita kiasi huku akitaka kesi ziendelee ili aendelee kuchota pesa, Mengi alibabuliwa vibaya na Prof. Muhongo kwenye mdahalo pale Nkrumah Hall. Taarifa za kiintelijensia zinaonyesha hadi kiwango cha pesa walizotoa mafisadi hawa kwa kina Zitto, Kafulika na Ole Sendeka.
weka hizo taarifa za kiintelijensia tuzione hapa.
 
Tunatoifautiana uelewa ndugu.Mie ni MHASIBU na nikisoma ripori ya CAG nasoma kwa umakini mkuu,kujua maana halisi ya kwanini CAG amesema alichosema.

Hakuna MHASIBU au MKAGUZI atakayekwambia kulikuwa hakuna pesa za UMMA,Mchezo mchafu umechezwa na viongfozi tuliowapa madaraka.

Hakuna mahali pesa iwe ya IPTL ikalipwe PAP,hii kitu hakuna mahali popote duniani.Hakuna HAKIMU atakayetoa ruhusa ya kulipa pesa zenye MALUMBANO hakuna duniani kote.

Hivyo ndivyo ilivyo.Pole uelewa wetu wa ripoti unatofautiana,sijajibu kwa jazba nimejibu kulingana na TAALUMA yangu.JAzba ni wewe umeiona sababu tumeielewa tofauti ripoti hii.Rudi muulize MKAGUZI CAG ana maana gani?Utapata maelekezo mazuri zaidi.

1. Ungelifanya rejea kwa vifungu vya Ripoti ya CAG ungeeleweka kuwa ni mtaalamu lkn umeteremsha mambo kienyeji. Inasababisha kutilia Mashaka taaluma au hauitendei haki taaluma. Ripoti ya PAC haina mashiko kama haiendani na Ripoti ya CAG!

2. Kumbuka hukumu ya Jaji Utamwa, ilitolewa kubariki makubaliano ya VIP kuuza hisa zake 30% kwa PAP ambaye alikuwa tayari amenunua hisa 70% za IPTL hivyo kuwa mmiliki wa IPTL kwa 100%. Baada ya kukubali ombi la VIP la kuiondoa IPTL kwenye ufilisi.

3. Baada ya hayo hapo juu kutokea wewe ukiwa ni Mhasibu kama ulivyojinasibu, unaelewa nini kwa AMRI iliyotolewa na Jaji kwamba Liquidator akabidhi all affairs za IPTL kwa PAP? Je, kama ukweli ulivyo, zile pesa kwenye Escrow Account zilikuwa ni za IPTL, inakuingia akilini kwamba Escrow Account haikuwa moja ya affairs za IPTL, iwe kuna dispute au hakuna? Kumbuka, CAG Report ya 2012 ilikwisha shauri TANESCO wasiendelee kuzihesabu hizo fedha kama asset kwao!
 
Back
Top Bottom