Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Separation shall never be our portion. Our union is purely made in heaven as tulimshirikisha Mungu kikamilifu. So tuombee tu mpendwa ili mapenzi ya Mungu yazidi kutimizwa kwetuOOh sawa ila natahadhalisha asije hapa Heaven Sent akaanza kulalamika hajasali na kufanya detail assessment juu yako....All the best
Yani mpendwa Kila nikiangalia/kusikiliza testimony za watu wengi, mara nyingi wanawake ndo huwa wanafungua vifungo vya ndoa zao. Nabaki tu kujiuliza sijui Ntaweza kuwa kama hao wanawake wa mfano. Mungu atusaidie wanawake kwa sababu hatima ya ndoa zetu ipo mikononi mwetu
Amini utaweza mpendwa,kikubwa ni shauku ya kua kama hao,tutamani na kukazana katika maombi familia/ndoa zetu ziwe miongoni mwa nusu paradiso.
Tukiacha kuchukulia mambo kiwepesiwepesi tunaweza kujenga familia bora sana
Amini utaweza mpendwa,kikubwa ni shauku ya kua kama hao,tutamani na kukazana katika maombi familia/ndoa zetu ziwe miongoni mwa nusu paradiso.
Tukiacha kuchukulia mambo kiwepesiwepesi tunaweza kujenga familia bora sana
Amen kipenzi. Kwa imani tutakuwa tu
Separation shall never be our portion. Our union is purely made in heaven as tulimshirikisha Mungu kikamilifu. So tuombee tu mpendwa ili mapenzi ya Mungu yazidi kutimizwa kwetu
its better kama hujakurupuka kufanya maamuzi
ukifika mda wa kutafuta mke wa ndoa nakushauri ufanye assessment maana inaonekana bado upo upo kwanza
Habari zenu wakuu,
Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.
Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.
Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.
Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.
Please badilikeni kaka zangu
mi lazima nifanye assessments but sio kila msichana ana confidence ya kufanya assessment
Habari zenu wakuu,
Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.
Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.
Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.
Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.
Please badilikeni kaka zangu
Naona mambo yameshakuwa mambo...nitakuwa mhamasishaji wako sisy darl.
Fanyeni haraka muingie kwenye mbingu ya duniani, karibuni sana...
Habari zenu wakuu,
Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.
Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.
Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.
Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.
Please badilikeni kaka zangu
wote lakini kwanini unifuate kabla hujaomba wala kufanya assessments zozote?