350,000 kwa zote mbili.
Nadhan ametaja bei...someni vizuri alichoandika.Shi ngp unauza
round hii mbona tumepatikanaalama za vidole ndo kikwazo.
mimi mwenyewe laini zangu zote.nimesajili kwa majina ya watu wengine.naona mwisho wa hizi laini zangu unakaribia
hapo kidogo unakuja kuja....laini ni zangu na nitazipeleka mwenyewe kwa finger print kama watahitaji.
Mzee nilimuuzia mtu line ya Voda miezi miwili iliyopita alafu na mm niliinunua juu kwa juu nisije nkaenda ndani ya Nondo sinaukumbuka Majanga yale?Na itapomalizika awamu ya kusajili laini...itakuja ya kurenew yani ukipoteza laini HAMNA ku sajili mpya maana tyr ulikua na laini utahitajika ku renew ile ile...Wanatuletea PIGO za TIN no za TRA yani ukishapewa TIN no.ndo hiyo hiyo mpk mwisho...
Mbona tutarudi tu kwenye RADIO CALL wote.
hAPA saivi ni kucheza na Taarifa za Vitambulisho vya Taifa...watu wadanganye Huko mpk Maana tushajua shida yao niniMzee nilimuuzia mtu line ya Voda miezi miwili iliyopita alafu na mm niliinunua juu kwa juu nisije nkaenda ndani ya Nondo sinaukumbuka Majanga yale?
Uzuri ninacho cha Taifa mkuu na cha KurahAPA saivi ni kucheza na Taarifa za Vitambulisho vya Taifa...watu wadanganye Huko mpk Maana tushajua shida yao nini