Mkuu kama bado hujapata hiyo line nicheck kwa bei hiyo tufanye biashara mi ninayo nipo dar.
Mm Niko moshi mkuu
Mkuu kama bado hujapata hiyo line nicheck kwa bei hiyo tufanye biashara mi ninayo nipo dar.
Na mi ninauza yangu sabb nimepata kaz sina mtu wa kusimamia lak 350000 tu.
unapewa kila kitu husika had no ya team leader!na unaitest sabb ina hela!0714562344.
Inahela kama hiyo unayouza? Au unamaanishaje mkuu
ooh no ina kma lak so unavoichukua means nairusha nawe ukiwepo kma unataka na hela yake maanake n 450000 coz hela ilyomo ni lki tu!
bado ipo call 0714345958 / 0752 858693
Tupia namba nitakuchekii
mkuu kama bado hujapata hiyo line nicheck kwa bei hiyo tufanye biashara mi ninayo nipo dar.