Wafata upepo hao...baadae atasema ni manager wa Haloteldah we hueleweki kabisa, mwanzo ulikuwa na line unausifia mtandao una speed, baadae ukaanzisha thread unataka setting za internet leo tena unaulizia line humake sense kabisa
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/946720-halotel-configuration.html
dah we hueleweki kabisa, mwanzo ulikuwa na line unausifia mtandao una speed, baadae ukaanzisha thread unataka setting za internet leo tena unaulizia line humake sense kabisa
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/946720-halotel-configuration.html
Wadau hivi hizi laini na vocha za hawa jamaa halotel zimeshaanza kutoka!
Wadau hivi hizi laini na vocha za hawa jamaa halotel zimeshaanza kutoka!
Wadau hivi hizi laini na vocha za hawa jamaa halotel zimeshaanza kutoka!
Hahahaha,mimi nimemaliza gb5 zao nimetunza line yao hadi vocha zitakapopatikana
Lkn dk 30 za kupiga mitandao kila siku na mb 30 za bure si unapata