Sijazaliwa katika Familia ya shida na dhiki kama Wewe na nashukuru Mungu kuwa Wazazi wangu walijipanga na kunitengenezea maisha yangu na sasa naishi vizuri hivyo usione nipo humu JF 24/7 ukadhani tunafanana Pumbavu mkubwa Wewe. Walaumu Wazazi wako kwa kushindwa Kwao kujipanga na sasa Wewe Mtoto wao unahangaika tu kuitafuta Shilingi huku ukiwachukia kwa Wivu wako wa ' Kingumbaru ' Watu wanaoshinda humu JF kila uchao utadhani Wewe ndiyo unawanunulia Bundle zao au uliwasajili humu.
Huwa sipendi kuwa na dharau hivi ila ukijipendekeza huwa ' sikubakishi '. Dhiki zako ulizonazo hadi katika ' Kope ' zako za macho usidhani na wenzako pia wanazo hivyo pambana sana kujitafutia maisha yako na usitake kujilinganisha na GENTAMYCINE kwani hutoniweza na barabara yangu ya Kimafanikio ilijengengwa vizuri na itakwisha pale tu Pumzi yangu ya mwisho itakapoisha hapa duniani.