Airtel 5G Router 40,000 tu

Airtel 5G Router 40,000 tu

paparazimkuu

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
1,089
Reaction score
1,438
IMG-20260409-WA0013.jpg
Hii router kwa ni portable unaenda nayo popote
Siku hizi hazipatikani airtel hawazitoi.
Wanatoa zile za kufungiwa ukutani tu.
Hii unapata na powerbank yake na chaja.
Inapaatikana ubungo
Bei 40,000
Mawasiliano 0765447055
 
Hii router kwa ni portable unaenda nayo popote
Siku hizi hazipatikani airtel hawazitoi.
Wanatoa zile za kufungiwa ukutani tu.
Hii unapata na powerbank yake na chaja.
Inapaatikana ubungo
Bei 40,000
Mawasiliano 0765447055
Vipi ufanisi wake?
Maana kuna nazoona zinalalamikiwa au ni zile ndogo
 
Hii router kwa ni portable unaenda nayo popote
Siku hizi hazipatikani airtel hawazitoi.
Wanatoa zile za kufungiwa ukutani tu.
Hii unapata na powerbank yake na chaja.
Inapaatikana ubungo
Bei 40,000
Mawasiliano 0765447055
Mkuu,
Ukiwapa Airtel TZS 110,000 wanakupa Kifurushi cha 70,000 (GB30) unlimited na hilo dude likiwa complete, ndo kusema hilo dude peke yake bila kifurushi hata Airtel wenyewe likiwa jipya wanaliuza kwa hiyo 40,000/= unayouza wewe
 
Mkuu,
Ukiwapa Airtel TZS 110,000 wanakupa Kifurushi cha 70,000 (GB30) unlimited na hilo dude likiwa complete, ndo kusema hilo dude peke yake bila kifurushi hata Airtel wenyewe likiwa jipya wanaliuza kwa hiyo 40,000/= unayouza wewe
Sasahivi wanauza kwa 100k na wanakupa kifurushi cha 100k so router ni bure
 
Back
Top Bottom