kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 753
Huyu mwanadada kwa kipindi kirefu nimekuwa nikimfuatilia tokea enzi hizo akiwa mchanga kabisa kwenye uigizaji hadi sasa jina lake limekua na amekuwa miongoni mwa wasanii wakubwa..
Lakin kitu kimoja tu nimeshindwa kielewa kwake.. Ile lafudhi yake nimeshindwa ijua hivi inatokana na moja ya makabila hapa nchini au ni kutoka nje ya nchi. Na kama siyo nje ya nchi huyu bidada anai igiza hiyo sauti....???!!!
Sasa hivi ni mtangazaji kwenye kituo kimoja cha radio naona kama ndio amezidi iwekea mbwembwe sauti yake hadi inaleta ukakasi... Na kama kuna mtoto au mtu asiye kijua kiswahili vizuri akimsikiliza yule dada anaweza asikijue kiswahili vizuri kwa namna ile ya uongeaji...
Nijuavyo mimi katika watu wanaotakiwa kuongea lugha kwa ufasaha ni watangazaji wa vyombo vya habari na kama sijakosea huwa kuna mwongozo pia wa namna ya utangazaji unavotakiwa kuwa......
Niliwahi sikia mtangazaji hata ile kuwa na rafudhi ya kabila fulani nayo siyo nzuri kwani kuna uwezekano kabila moja likajiona ni bora kuliko jingine kutokana na umaarufu litakao upata kwa kutamkwa tamkwa kama rafudhi kwenye media na kupelekea ukabil/tribalism.
===============
ILA HONGERA KWAKE MWANADADA DOKII, SAUTI YAKE IMEMEMPA IDENTITY KUBWA SANA HAPA NCHINI..
============
kalenga kidamali.
----------------------------
Lakin kitu kimoja tu nimeshindwa kielewa kwake.. Ile lafudhi yake nimeshindwa ijua hivi inatokana na moja ya makabila hapa nchini au ni kutoka nje ya nchi. Na kama siyo nje ya nchi huyu bidada anai igiza hiyo sauti....???!!!
Sasa hivi ni mtangazaji kwenye kituo kimoja cha radio naona kama ndio amezidi iwekea mbwembwe sauti yake hadi inaleta ukakasi... Na kama kuna mtoto au mtu asiye kijua kiswahili vizuri akimsikiliza yule dada anaweza asikijue kiswahili vizuri kwa namna ile ya uongeaji...
Nijuavyo mimi katika watu wanaotakiwa kuongea lugha kwa ufasaha ni watangazaji wa vyombo vya habari na kama sijakosea huwa kuna mwongozo pia wa namna ya utangazaji unavotakiwa kuwa......
Niliwahi sikia mtangazaji hata ile kuwa na rafudhi ya kabila fulani nayo siyo nzuri kwani kuna uwezekano kabila moja likajiona ni bora kuliko jingine kutokana na umaarufu litakao upata kwa kutamkwa tamkwa kama rafudhi kwenye media na kupelekea ukabil/tribalism.
===============
ILA HONGERA KWAKE MWANADADA DOKII, SAUTI YAKE IMEMEMPA IDENTITY KUBWA SANA HAPA NCHINI..
============
kalenga kidamali.
----------------------------