hawezi kupata mimba kwa njia za kawaida.. Na hili halipingiki hata kidogo.labda jiwe kama mwenzangu alivosema.
Nasikia kwanza kwa sasa hayupo bongo, au ndio ameenda kupandikizwa huo ujawepesi?
Atakuwa ametoka nje ya ndoa tu huyo.
we huoni midomo wamefanana!Hivi ni kweli kwamba huyu binti huwa ni mtoto wa Tyson (Sokwe) yule wa chama cha magamba?? Nilishawahi kusikia hili ila sijapata mtu akanithibitishia
Mmmh kwani alisema hazai au ni mipango yake
hizi habari zimezagaa if it is true CONGRATULATION MUMY umewakata ulimi wenye kiherehere; i am so proud of you; utakuwa role model kwa wanawake wengi wa kitanzania wanaonyanyasika kwenye ndoa na jamii kwa kuitwa wagumba na majina yasiyofaa. gooooooo komando GOD BLESS YOU ALWAYS! MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU
acheni choko choko kila kona ya maisha yake mnataka muichokonoe mind your own bussiness guys khaa!
Mkuu ni bora ungeandika hata thread ya kuisifia familia yako,sasa wewe kwa akili yako unashangaa JD kuwa na mimba?si anakojoa huku amechuchumaa sasa sa cha ajabu kipi hapo?
Kwani tatizo nini ? Hakutarajiwa kuwa Mjamzito ?
mwananyamala hosp, attention p/se