Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
hizi habari zimezagaa if it is true CONGRATULATION MUMY umewakata ulimi wenye kiherehere; i am so proud of you; utakuwa role model kwa wanawake wengi wa kitanzania wanaonyanyasika kwenye ndoa na jamii kwa kuitwa wagumba na majina yasiyofaa. gooooooo komando GOD BLESS YOU ALWAYS! MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU
Kwani tatizo nini hapo? Hastahili kupata ujauzito? nyie ndo mnao ziba ridhiki za watu