brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Malkia wa muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee amefanikiwa kupata uongozi mpya ambao utasimamia kazi zake za muziki baada ya kuachana Rockstar inayoongozwa na Seven Mosha.
Akiongea na Bongo5, mtu wa karibu wa msanii huyo amethibitisha hilo kuwa Jide kwa sasa amepata uongozi huo mpya wa kampuni kutoka Nigeria ambao wanafanya kazi nchini Kenya.
Chanzo hiko kimesema kampuni hiyo inafahamika kama Taurus Muzik ambayo pia inafanya kazi na wasanii kama Dela Maranga na Kagwe Mungai (wote kutoka Kenya), na Urban Hype kutoka Zambia.
Tayari inadaiwa kuwa Jaydee ameshaanza kufanya kazi na kampuni hiyo na watatoa taarifa rasmi hapo baadae. Jide atatarajiwa kuwa na ziara ya muziki nchini Afrika Kusini mwezi Disemba mwaka huu.
Jaydee anakuwa msanii wa pili kuondoka baada ya baraka da prince kuondoka hivi karibuni hata hivo rockstar ilimuongeza ommy dumpoz hadi sasa alikiba na ommy dimpoz ndo wasanii waliobaki rockstar
Akiongea na Bongo5, mtu wa karibu wa msanii huyo amethibitisha hilo kuwa Jide kwa sasa amepata uongozi huo mpya wa kampuni kutoka Nigeria ambao wanafanya kazi nchini Kenya.
Chanzo hiko kimesema kampuni hiyo inafahamika kama Taurus Muzik ambayo pia inafanya kazi na wasanii kama Dela Maranga na Kagwe Mungai (wote kutoka Kenya), na Urban Hype kutoka Zambia.
Tayari inadaiwa kuwa Jaydee ameshaanza kufanya kazi na kampuni hiyo na watatoa taarifa rasmi hapo baadae. Jide atatarajiwa kuwa na ziara ya muziki nchini Afrika Kusini mwezi Disemba mwaka huu.
Jaydee anakuwa msanii wa pili kuondoka baada ya baraka da prince kuondoka hivi karibuni hata hivo rockstar ilimuongeza ommy dumpoz hadi sasa alikiba na ommy dimpoz ndo wasanii waliobaki rockstar