Msema yote
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 448
- 298
Thibitisha hoja yako@mzee
Snitch FA, muache atukanwe....
Ninavyomfahamu FA, hawezi kuja kujibu upumbavu huo wa JD.
I like it-tena mwanahamis mwanajuma kabisa......!!ma snitch kama hao ndo dawa yaojide ungemuita mwanahamisi kabisa mana ndo jina lake halisi japo anaamua kulikatisha
huyu dada nae kuna
anachokitafuta sio bure na kwa style hii sidhani kama huko anakoelekea
atafika salama
Mwisho wa siku hayo matusi
hayatasaidia chochote. JD kawashika wengi kuwa anapigania maslai ya
wasanii kunyonywa na Clouds, kumbe anapigabiat njaa zake na chuki zake
binafsi na Clouds. Ndio maana kwa hii hajapata sapoti kubwa kutoka kwa
wasanii wenzake ukilinganisha na ile vita ya Sugu. Toka hii issue ianze
sijasikia JD akielezea jinsi gani yeye alivyonyonywa na akina
Ruge.
Menopozi huwa inakuja vibaya sana. Hata kama anatetea chake inahuu kumuita mwenzake jina hilo tena ukizingatia nafasi yake kwenye jamii ya wasanii wenzake na tanzania? Jide ni moja kati ya wasanii wa kike wakongwe, ni lazima atumie busara hata anapodai chake.
JD hajafanya haki kumuita MwanaFatuma!sio haki kabisa!amemchokoza akijibu labda akamwita bi mgumba atalalamika?napita tu!
Huyu dada ana stress za kugegedwa na Jini. Nimjuavyo FA hawezi kubishana na huyu bibi kizee anayelazimishia usichana.
Mwisho wa siku hayo matusi hayatasaidia chochote. JD kawashika wengi kuwa anapigania maslai ya wasanii kunyonywa na Clouds, kumbe anapigabiat njaa zake na chuki zake binafsi na Clouds. Ndio maana kwa hii hajapata sapoti kubwa kutoka kwa wasanii wenzake ukilinganisha na ile vita ya Sugu. Toka hii issue ianze sijasikia JD akielezea jinsi gani yeye alivyonyonywa na akina Ruge.