Mbona Diamond kaitwa nae hayupo? Nae kasusa!
We kijana,umejiunga jana na umbea juu....hongera.Ety ni kutokana Clouds kuhusika show hiyo, hatari sana, anaonyesha anaweza na pozi juu. bhasi sawaa.
aaaah hapna , ni fununu tu hizooo. ila inaweza ikawa kweli, siunajua Jay dee na yule wa clouds, sasa kama timu nzima ya clouds ipo ndani we unafikiri itakuaje, Diamond namtetea kwa tour ya jana amechokachoka.
Mara ya mwisho ulimuona lini Jide kwenye KTMA akitokea mwenyewe?
Na kama ni kususa mbona hakatai akipewa? Na mbona huwa anatuma mwakilishi aende?
Angesusa asingetuma mwakilishi
Last year km alikwenda vilee...
mmmh alikwenda kwenye tour ya kill lakini kwenye tuzo ni muda mrefu umepita tangu amehudhuria kwa mara ya mwisho...
mmmh alikwenda kwenye tour ya kill lakini kwenye tuzo ni muda mrefu umepita tangu amehudhuria kwa mara ya mwisho...
mmmh alikwenda kwenye tour ya kill lakini kwenye tuzo ni muda mrefu umepita tangu amehudhuria kwa mara ya mwisho...
Ety ni kutokana Clouds kuhusika show hiyo, hatari sana, anaonyesha anaweza na pozi juu. bhasi sawaa.