Ladies would you visit this Saloon ?

Umemuuliza?!Labda ni jina lake au neno la kikwao!
Ingekuwa saloon ya kiume ningeuliza ya kike nitaanzaje na pia Liz pale kuna wasomi wengi tu madaktari/manesi/wana chuo kweli hamna aliyeona ?
 
Baby siendi hiyo saluni hata bure.lol.
Kuna nyingine inaitwa vipili pili hair dressing saluni. Khaaaa!
Watu kwa kujiharibia.
 
Ingekuwa saloon ya kiume ningeuliza ya kike nitaanzaje na pia Liz pale kuna wasomi wengi tu madaktari/manesi/wana chuo kweli hamna aliyeona ?

Kama hujafanya hivyo na hujui alichomaanisha yeye then sioni sababu ya kuponda kitu tusichoelewa!!
 
Kama hujafanya hivyo na hujui alichomaanisha yeye then sioni sababu ya kuponda kitu tusichoelewa!!
tangazo limeandikwa kithungu na LICE can only mean one thing,hata kama ana maana ingine huoni itampunguzia wateja kwa mfano kuna exchange students wengi pale chuoni ?
 
tangazo limeandikwa kithungu na LICE can only mean one thing,hata kama ana maana ingine huoni itampunguzia wateja kwa mfano kuna exchange students wengi pale chuoni ?

Saluni ngapi bongo zinaitwa majina ya watu?!Unakuta FULANI hair cutting/dressing saloon ina maana kwamba hiyo fulani nayo ni lazima iwe ya kimombo sababu kinachofuata kimeandikwa kwa kimombo?!

Sio kila neno unalolifahamu lina maana ile tu unayoijua wewe...ndio maana hata majina ya watu wengine watu ambao wanatoka kwenye jamii tofauti wakiyasikia wanashangaa.Hivyo hivyo kwenye lugha....kuna maneno hata mimi naweza kukwambia hapa ukaona hayana ubaya wowote au majina nikakutajia ukaona yamekaa vizuri kumbe kuna sehemu ni matusi.Kwahiyo kabla ya kusema kakosea spelling/kakosea kupaita chawa/neno lina maana nyingine tusiyoijua sisi ni vizuri tukajua kwanza yeye alikua na maana gani.
 
Sio kila neno unalolifahamu lina maana ile tu unayoijua wewe...ndio maana hata majina ya watu wengine watu ambao wanatoka kwenye jamii tofauti wakiyasikia wanashangaa.Hivyo hivyo kwenye lugha....kuna maneno hata mimi naweza kukwambia hapa ukaona hayana ubaya wowote au majina nikakutajia ukaona yamekaa vizuri kumbe kuna sehemu ni matusi.Kwahiyo kabla ya kusema kakosea spelling/kakosea kupaita chawa/neno lina maana nyingine tusiyoijua sisi ni vizuri tukajua kwanza yeye alikua na maana gani.

Ni kweli kabisa kuna majina ya sehemu na watu huko Ghana huku Bongo ni kiungo cha uzazi (amabacho huwezi kukisema mbele ya watu)..., Lakini Saying that Biashara au jina ambalo linatoa service kwa watu inabidi uangalie kama lina double meaning ambazo zinaweza zikakukosesha wateja au zika-insult wateja wako (and from this post huenda angepoteza wateja kama wawili)...

Hata kama jina langu ni Kiti Moto.., (huenda nikaacha kuita Mgahawa wangu Kiti Moto kama kina-serve watu wa aina tofauti). Lakini Saying that sio wabongo wengi wanaofata Jina la sehemu na pia huenda hii ikafaa sababu jina lina-shock baadhi ya watu basi wanaliongelea and in so doing wanapata free publicity na wataenda kuangalia whats in Lice and Why is it called Lice.., na kama service ni nzuri basi watarudi tena na tena..

Kwahiyo you never know na wanasema "No Publicity is bad Publicity"...., na hii inaonekana leo kwamba ni kweli sababu jamaa wameshapata promo ya bure..., na wangeitwa "Tunatengeneza Nywele Saloon..." sidhani kama tungewaongelea...., and there is a line to cross nadhani kama wangeita Saloon yao "Tunanyoa Wapuuzi Saloon.." sidhani kama hata publicity ingesaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom