ladies......lets FAKE....

ladies......lets FAKE....

[TABLE="width: 500, align: center"]
[TR]
[TD]hivi kweli ikitokea ndoa zooote zikavunjwa na Mwenyezi Mungu,

halafu kila mtu akapewa option ya kuchagua mwenza upya kabisa!!

je, kwa hali hii ya sasa, kuna watakaorudiana kweli??
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Nimlilie.kwani nimemzaa mie? Chura ukimpiga teke umempunguzia safari atii hehehe. Ataisoma namba ya kiatu ndo ajijue hana bahati. Hujaona kuna anaeomba ushauri wa kumcheat mume, anatongozwa na wanaume watatu! Unalo hilo baba hehehe

Huyo aliye tongozwa na wanaume watatu, mumewe ametongoza adilibitum
 
[TABLE="width: 500, align: center"]
[TR]
[TD]hivi kweli ikitokea ndoa zooote zikavunjwa na Mwenyezi Mungu,

halafu kila mtu akapewa option ya kuchagua mwenza upya kabisa!!

je, kwa hali hii ya sasa, kuna watakaorudiana kweli??
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

mimi na my wife wangu a.k.a mama Ngina tutarudiana tu
 
Hahaha you wish! Hebu nipishe mie!
exactly!keep on doing that,hataenda nje kabisaaa haijalishi na wewe unafurahia ama not:A S-devil4:

why fake? Kama mpenzio ni rafikiyo basi na matani yanaanza hapo hapo. Nakudai moja, na juzi moja. Ole wako, wknd ntakufungia ndani ujue. Uanaume wa kudananganyishiwa mwenza wangu hapendi pia nadhani. Na by the way nisiongelee maisha yangu kama vile ni std. 95% of the sex i have had nilifika mwisho. Labda nna mume mzuri sana? Usinitishie nikaogopa kumtaliki siku isiyo na jina aisee.

Kwanza unafake vipi ile raha? Nahitaji twisheni.

Cc snowhite
King'asti I do think you miss to grasp some very crucial msg from imaney

Huyu dada hajasema u fake kila siku !Kwa mfano jamaa ka cum na anaonekana kachoka.Je si ni vyema kumpa sifa za uanaume wake na ww u pretend just for that day kuwa ume cum?

Je ktk ndoa yako kila siku mmeo anafanikiwa kukufikisha?Haijawahi kutokea siku ikawa yy kafika ww bila bila au yy bila bila wewe moja?

Hata wanaume sometimes huwa tuna fake hiyo kitu!Siku zingine inatokea una game mbovu na mchumba kafika mapema;unadanganya unapiga kelele unakimbilia bafuni unavua haraka mpira una flash!Maana ukiendelea utamchubua/utachubuka tu na ndiyo point aliyojaribu kutengeneza dada huyu!

Nyie mnao pinga hili;Je ni kweli ktk love cycle zenu hamjawahi kuwa na bad game ukatoka bila bila?
 
Last edited by a moderator:
Samahani lakini, ila mimi na paw ni automatiki. Tutarudiana hata mbinguni kama kuna ndoa yetu ipo hakika
[TABLE="width: 500, align: center"]
[TR]
[TD]hivi kweli ikitokea ndoa zooote zikavunjwa na Mwenyezi Mungu,

halafu kila mtu akapewa option ya kuchagua mwenza upya kabisa!!

je, kwa hali hii ya sasa, kuna watakaorudiana kweli??
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

haijalishi. La muhimu hakuna atakaetoka kapa. Kila mtu na mtiwe. Hehehe mtajipanga mwaka huu.
Huyo aliye tongozwa na wanaume watatu, mumewe ametongoza adilibitum
 
Nimlilie.kwani nimemzaa mie? Chura ukimpiga teke umempunguzia safari atii hehehe. Ataisoma namba ya kiatu ndo ajijue hana bahati. Hujaona kuna anaeomba ushauri wa kumcheat mume, anatongozwa na wanaume watatu! Unalo hilo baba hehehe
Practically, si kweli kwamba kila akikufanya unafika na yeye anafika... Kuna siku huwa tofauti...

Eti utatoka mbio... Mbio my fuuti....

Na kwa taarifa yako, hao unaowaona wanatongoza, hata wanaokutongoza wewe, wanafanya hivyo kwa vile una mtu and hence kuna mengine anakamilisha mumeo.... Siku uondoke halafu useme unahamia kwake, ndo utajuwa umuhimu wa kufake sometime....

Kama kiburi unakitoa kwa wanaokutongoza unajidanganya. Achika uone naye anavyokuacha...
 
Ahahahaha wengine wakishindwa kazi hata siku moja huji feel vibaya sana lol!

No, haina maana kujisikia vibaya. These things happen. Hata wewe mwanaume unaweza kuwa na mzuka vibaya mno but ukifika pale jogoo kalala na hataki kusimama. How are you gonna fake that??
 
To me its no..! Why ni fake it ilihali naumia, mwanaume ni mwanaume tu hata ujitoe muhanga juu yake he will never appriciate it.!
 
Nimlilie.kwani nimemzaa mie? Chura ukimpiga teke umempunguzia safari atii hehehe. Ataisoma namba ya kiatu ndo ajijue hana bahati. Hujaona kuna anaeomba ushauri wa kumcheat mume, anatongozwa na wanaume watatu! Unalo hilo baba hehehe

King'asti na Karucee ebu nisaidieni inakuwaje mke anaomba ushauri wa kumcheat mumewe, ni dudu tu haitoshi au kuna mengine makubwa zaidi? uzoefu tafadhali
 
Wewe kwa mawazo yako mwanamke akiondoka kwa mwanaume inabidi adake mwanaume mwingine wa kuhamiamo? Kwa nini hudhani naweza kuendesha maisha bila kuhamia kwa mwanaume mwingine, ama kwa mwanaume mwingine kuhamia kwangu?

weeh bakia na praktikale zako hapo watu wanaishi maisha. Eating life with a big spoon hehehe
Practically, si kweli kwamba kila akikufanya unafika na yeye anafika... Kuna siku huwa tofauti...

Eti utatoka mbio... Mbio my fuuti....

Na kwa taarifa yako, hao unaowaona wanatongoza, hata wanaokutongoza wewe, wanafanya hivyo kwa vile una mtu and hence kuna mengine anakamilisha mumeo.... Siku uondoke halafu useme unahamia kwake, ndo utajuwa umuhimu wa kufake sometime....

Kama kiburi unakitoa kwa wanaokutongoza unajidanganya. Achika uone naye anavyokuacha...
 
Bora wewe umekuwa positive about me, lol. Saa zingine mnanifanyaga nifeel guilty aisee. Im a good gal after all banaa, aaagh
Wa hiv wapole sana ndani
Mokoyo, qudu ni kama asilimia kadhaa tu ya kukamilisha ndoa. Mwanamke akimpenda mtu na kumfeel haswa ukigusa tu anafika bila taabu. Ofcoz kuna siku chache za kiu, you know? Tatizo ni emotional satisfaction ndo inaharibu kila kitu. Kama hamtumii muda pamoja, hauonyeshi kumjali na kumthamini basi hapo utazidiwa hata na mwenye kibamia. Kuna mtu ana kibamia anajituma hadi anapendwa aisee, unaweza kuwa na binduki yako ak 49 na ukaachwa vile vile! Mjulie mwenzio na ucheze mziki wake.
King'asti na Karucee ebu nisaidieni inakuwaje mke anaomba ushauri wa kumcheat mumewe, ni dudu tu haitoshi au kuna mengine makubwa zaidi? uzoefu tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Labda nikuulize, mmeo akiwa na nyumba ndogo, kitu gani kibaya zaidi kinachoweza kutokea?

Kinachokufanya hadi wewe u fake hayo yote?

Worst case scenario inayoweza kutokea?

exactly!keep on doing that,hataenda nje kabisaaa haijalishi na wewe unafurahia ama not:A S-devil4:
 
Kwani nikiachika na mume, hata mme atakuwa kaachika na mkewe.

Hata yeye anaypyapata huko kwa nyumba ndogo amafurahia sababu mke nakamilisha mwengine.

Kwa hiyo, ndoani tunakamilishana, hakuna stering wa ndoa.

Practically, si kweli kwamba kila akikufanya unafika na yeye anafika... Kuna siku huwa tofauti...

Eti utatoka mbio... Mbio my fuuti....

Na kwa taarifa yako, hao unaowaona wanatongoza, hata wanaokutongoza wewe, wanafanya hivyo kwa vile una mtu and hence kuna mengine anakamilisha mumeo.... Siku uondoke halafu useme unahamia kwake, ndo utajuwa umuhimu wa kufake sometime....

Kama kiburi unakitoa kwa wanaokutongoza unajidanganya. Achika uone naye anavyokuacha...
 
Back
Top Bottom