.....hawajui wanachosema ujuaji tu wa kusema waonekane wajanja lakini hamna kitu haponyie hapo juu,hamna ndoa ....once umeingia kny marriage instution jua umeweka covenant na huyo ulioyeolewa/oa naye,respect .......................you will have to make your marriage work😛ray:
...lile swala la kufunda wanawake lilikua la muhimu sana....wasichana wa kieleo mna mitazamo hafifu sana kuhusu ndoa...kiarahisi tu ukanzishe maisha yako...!!!!ushauri mbaya sana huu, ku-fake ili asiwe na nyumba ndogo?
kwa nini usimuache aendelee na nyumba ndogo yake, na wewe ukaanze maisha yako kivyako, bila yeye
hata wewe unasema tufake??.....hawajui wanachosema ujuaji tu wa kusema waonekane wajanja lakini hamna kitu hapo
nimemuelewa sana....content ya message yake ...ni kwamba sometimes sisi wanaume tunakuwa na hamu ya kusex...tumalize hamu lakini bila kuridhisha mke...so at that episodes mwanamke inabidi kuvumilia kidogo....wewe utakuwa na ushuhudakuna some episodes ukikutana na mwanaume anakua hajakufikisha mwisho....lakini mwanaume anakua ameridhika...so some hizo episodes ni kuvumilia kidogo....that's her message.....hakumaanisha kwamba ufake orgasim kila siku...mimi nimesoma na nimekaa sana na wanawake wasomi ila wengii nimechunguza na kuresearch ....KWELI kabisa nimeona WAMEKOSA elimu ya ASILI ya KUFUNDWA.....ndo maana hapa unakuta mwanamke anacoment kirahisi tu....naondoka tunaaachana.....!!!!! ni kukosa UNYAGOhata wewe unasema tufake??
au hujajua tunabishana nn na huyu bidada?
ah dr please!
nimemuelewa sana....content ya messcage yake ...ni kwamba sometimes sisi wanaume tunakuwa na hamu ya kusex...tumalize hamu lakini bila kuridhisha mke...so at that episodes mwanamke inabidi kuvumilia kidogo....wewe utakuwa na ushuhudakuna some episodes ukikutana na mwanaume anakua hajakufikisha mwisho....lakini mwanaume anakua ameridhika...so some hizo episodes ni kuvumilia kidogo....that's her message.....hakumaanisha kwamba ufake orgasim kila siku...mimi nimesoma na nimekaa sana na wanawake wasomi ila wengii nimechunguza na kuresearch ....KWELI kabisa nimeona WAMEKOSA elimu ya ASILI ya KUFUNDWA.....ndo maana hapa unakuta mwanamke anacoment kirahisi tu....naondoka tunaaachana.....!!!!! ni kukosa UNYAGO
poa poa mamy...have nice onehii mada ni ndefu tukutane asbh doc.
ngoja nkaridhike kwanza!!
lol
yaani wewe ni headache, mumeo anaipata pata freshUshauri kama uchawi huu. Wenzio hatuogopi kuachika, tunaogopa kukosa utamu wa maisha tuuu.
Life expectancy yenyewe inapungua daily. Kisa cha kuvumilia upuuzi wa mwanamme? How many lifetimes do I have??...lile swala la kufunda wanawake lilikua la muhimu sana....wasichana wa kieleo mna mitazamo hafifu sana kuhusu ndoa...kiarahisi tu ukanzishe maisha yako...!!!!
hehehe chezeiya utamu. Unaiweka akiba labda itapata mlaji bora baadae lol
yaani wewe ni headache, mumeo anaipata pata fresh
Walewale. Tuacheni tupumue. Enzi za kuvumilia upuuzi ziliisja. Nyumba ndogo kafate if you are a good ---- na nyumbani washashiba.
yaani wewe ni headache, mumeo anaipata pata fresh