Waungwana seba akojiwe !!
Naomba kujua huwa mnajisikiaje , nyinyi , ndugu zenu, na wazazi wenu.
Dada unapata mchumba na unaanza kumueleza changamoto zako binafsi , ndg zako na wazazi wako.
Unapewa pesa ya kujikimu , sio kidogo almost 2M per month
Unalipiwa pesa yote ya madeni kwenye vikoba
Unalipiwa mkopo wa Bank Kama 20 M hivi
Unapewa pesa ya maamdalizi ya kuvishwa Pete ya uchumba si chini ya 5M
Unaomba pesa ya kununua gari kama 17M
Unaomba pesa ya kununua kiwanja kama 15 M
Hayo yote ndani ya miezi 4 toka tufahamiane
Hili limekaaje ? Ni penzi au mkakati wa kuondoa umasikini wa ukoo
Kama ni wewe unajisikiaje na ukoo wako?
Ukiolewa unazani utalipia vipi gharama hizi
Naomba kujua huwa mnajisikiaje , nyinyi , ndugu zenu, na wazazi wenu.
Dada unapata mchumba na unaanza kumueleza changamoto zako binafsi , ndg zako na wazazi wako.
Unapewa pesa ya kujikimu , sio kidogo almost 2M per month
Unalipiwa pesa yote ya madeni kwenye vikoba
Unalipiwa mkopo wa Bank Kama 20 M hivi
Unapewa pesa ya maamdalizi ya kuvishwa Pete ya uchumba si chini ya 5M
Unaomba pesa ya kununua gari kama 17M
Unaomba pesa ya kununua kiwanja kama 15 M
Hayo yote ndani ya miezi 4 toka tufahamiane
Hili limekaaje ? Ni penzi au mkakati wa kuondoa umasikini wa ukoo
Kama ni wewe unajisikiaje na ukoo wako?
Ukiolewa unazani utalipia vipi gharama hizi
