Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,527
- 81,250
Nataka nikutumie hela ya sikukuu nipe basi namba.Amka usije ukajikojolea huko!
Nitatuma na yakutolea.
Nataka nikutumie hela ya sikukuu nipe basi namba.Amka usije ukajikojolea huko!
Njoo inbox ila itakua WIN TO WINMkuu mi naomba laki mbili tu achana na huyo chuma ulete
🤣🤣🤣Nataka nikutumie hela ya sikukuu nipe basi namba.
Nitatuma na yakutolea.
Hutaki au?
Mil. 59. Hela ya mtu kustaafu kabisaNi wewe ndio umetoa pesa yote hiyo?
Kujikimu = 2mil per month
Mkopo = 20mil
Gari = 17mil
Kiwanja = 15mil
Pete = 5mil
Madeni Vicoba = undisclosed
Maana kama una uwezo wa kumpa mtoto wa mwanaume mwenzio pesa yote hii, ina maana una uwezo wa pesa na sijui kwa nini umeandika uzi wa kulalamika...
🤣😂Mkuu mi naomba laki mbili tu achana na huyo chuma ulete
Mi namtaka mtoa madaNjoo inbox ila itakua WIN TO WIN