Labda Moshi inaongoza kwa ulevi

Labda Moshi inaongoza kwa ulevi

Jifunze kuwa mkweli, kwa uwongo ulioweka hapa hata nafsi yako inakusuta
Tena amepiga picha bila kujua kua tunajua udongo wa nyumbani ulivyo. Nikiborloni ipi yenye idongo mweusi hivyo?.
 
Wakuu leo tulikuwa tunazika Moshi kiboriloni, yaani wakati wa misa nikashangaa kanisa zima linanuka pombe, wakati wa kuzika nilipata tabu sana kumwona mtu ambae alikuwa sober labda mimi na mchungaji na mwinjilisti, vijana ndiyo usiseme wote walikuwa bwaksi.
View attachment 866424View attachment 866425
Hao itakua ndugu zako wa chato,wachaga hawanywi mbege kwenye ndogo ya kuongea,pia hawanywi hizo pombe chafu kama nyie,mbege inanywewa na kata au chibuku
 
Arusha bhange, nini tatizo kwa vijana hawa wanaoshunda wamelewa hadi wanasikitisha jamani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom