pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Hizo picha sio za uchagani hata kdg na hakuna unywaji wa kutumia hivyo vitu.
'Mti wenye matunda ndio unarushiwa mawe' songeni mbele kwa kasi zaidi wao wabaki wakiisoma no.Wachaga tunapigwa vita kuanzia ikulu mpaka JF
Tena amepiga picha bila kujua kua tunajua udongo wa nyumbani ulivyo. Nikiborloni ipi yenye idongo mweusi hivyo?.Jifunze kuwa mkweli, kwa uwongo ulioweka hapa hata nafsi yako inakusuta
Hao itakua ndugu zako wa chato,wachaga hawanywi mbege kwenye ndogo ya kuongea,pia hawanywi hizo pombe chafu kama nyie,mbege inanywewa na kata au chibukuWakuu leo tulikuwa tunazika Moshi kiboriloni, yaani wakati wa misa nikashangaa kanisa zima linanuka pombe, wakati wa kuzika nilipata tabu sana kumwona mtu ambae alikuwa sober labda mimi na mchungaji na mwinjilisti, vijana ndiyo usiseme wote walikuwa bwaksi.
View attachment 866424View attachment 866425