Labda Moshi inaongoza kwa ulevi

Labda Moshi inaongoza kwa ulevi

haipiti siku bila kuona uzi unaohusu wachaga humu!...
 
Mazishi yakisindikizwa na "Warii" ndo mtu anawekwa vizuri sana pema peponi mazee, Hata lile kaburi, halichimbiki bila "Wariii" mazee. Hiyo ndo mila. Jembe la kwanza halafu tunamwaga tone pale ili wasee watulie tuwapelekee mtu wao fasta.
Tena wasee walisema; Bila "Warii" tusingelizaliwa. Next time usihudhurie mazishi yangu kama hunywi wariii.
 
Mazishi yakisindikizwa na "Warii" ndo mtu anawekwa vizuri sana pema peponi mazee, Hata lile kaburi, halichimbiki bila "Wariii" mazee. Hiyo ndo mila. Jembe la kwanza halafu tunamwaga tone pale ili wasee watulie tuwapelekee mtu wao fasta.
Tena wasee walisema; Bila "Warii" tusingelizaliwa. Next time usihudhurie mazishi yangu kama hunywi wariii.
Kavo mvo mae
 
tulitoka kwenye msiba mwaka jana moshi ilibaki kidogo gari idondoke,maana kuanzia dereva na watu wote kwenye gari tulikuwa pombe balaa, hakuna hata mmoja aliekuwa na nafuu, maana wote kwenye gari tulikuwa ni wachaga,
kwenye msiba waliruhusu watu kuondoka na pombe, huku gari inatembea huku watu wanakula pombe
Mngeshuka kwenye hiyo gari inayotrmbea muibebe nyie.
 
Wakuu leo tulikuwa tunazika Moshi kiboriloni, yaani wakati wa misa nikashangaa kanisa zima linanuka pombe, wakati wa kuzika nilipata tabu sana kumwona mtu ambae alikuwa sober labda mimi na mchungaji na mwinjilisti, vijana ndiyo usiseme wote walikuwa bwaksi.
View attachment 866424View attachment 866425
Mkuu kwa taarifa yako uchagani pombe ni heshima kubwa sanaa..mazishini pombe ni kitendea kazi na sehemu muhimu sana ya mazishi..pale kaburini jembe la kwanza tu lazima pamwagwe kidogo ili mambo yaende sawa.hapo kiboriloni ni old moshi je ingekua ni Rombo si ndio ungezirai kabisa!!ivo kisewa.!!
 
Kwani harufu ya pombe ni mbaya? Ni Manukato mazuri sana, kazi na dawa tena unapoweka pombe kiasi chake, neno linapenya huku unachungulia mlango wa mbingu. Kifo ni mfumo tu wa kubadilika katika hali nyingine ambayo ni nzuri zaidi. Hivyo pombe ni kunogesha mambo
 
Wakuu leo tulikuwa tunazika Moshi kiboriloni, yaani wakati wa misa nikashangaa kanisa zima linanuka pombe, wakati wa kuzika nilipata tabu sana kumwona mtu ambae alikuwa sober labda mimi na mchungaji na mwinjilisti, vijana ndiyo usiseme wote walikuwa bwaksi.
View attachment 866424View attachment 866425
mkuu ata mimi nilikua msibani hapo ungepanda kidogo kwa juu njia 2 tulimalizia hapo kwa bia na kitimoto
 
mtoto wa kichaga siku ya kuzaliwa badala ya kupewa maziwa ya mama anapewa mbege
 
mkuu ata mimi nilikua msibani hapo ungepanda kidogo kwa juu njia 2 tulimalizia hapo kwa bia na kitimoto
Mkuu nilikuwa nina haraka kidogo ila nilikuwa na enjoy sana kuona vijana wako vizuri balaa, ila ulimwina yule Rasta aliyekuwa anaimba liturugia??? Ilikuwa full vituko
 
Mkuu nilikuwa nina haraka kidogo ila nilikuwa na enjoy sana kuona vijana wako vizuri balaa, ila ulimwina yule Rasta aliyekuwa anaimba liturugia??? Ilikuwa full vituko
Mi niko hapa Kiborloni kwa profesa Vulata...Vijana wanakunywa mbege kuanzia saa 1 asubuhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom