Labda ame smell something Fishy, hatuwezi jua

Labda ame smell something Fishy, hatuwezi jua

Kwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...

kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.

Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Katumia busara sana! Hiyo busara ianmzidi mbali sana Bi. Mkora! Kwa kweli kwa uamuzi huo niko upande wake!
 
Kwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...

kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.

Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Forced eviction
 
Katumia busara sana! Hiyo busara ianmzidi mbali sana Bi. Mkora! Kwa kweli kwa uamuzi huo niko upande wake!
Uajatumia busara. Kuna fimbo ipo nyuma ya hayo maamuzi. Mara kadhaa alinukuliwa akisema bado anautaka ubunge. Swali linakuja, je angeupata na asiteuliwe kuwa waziri Mkuu, je angebaki bachbencher naye aanze kuomba muongozo wa spika?
 
Kwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...

kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.

Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Baada ya Gufuli kufa tuliambiwa tetesi za kuwa kulikuwa na wasimbe wa kisiasa ambao hawakutaka katiba ifatwe, hivyo basi kama ndivyo basi na yeye aweza kuwa miongoni mwao , hatima yake ya kionja joto ya wababe itakuwa imefika,

Hii sio hiari ya huyo Kaphone mwenyewe never never never
 
Back
Top Bottom