Kweli kabisa..Mkuu halafu wanampa 'kichwa' Bure huyo kaphone..CCM Ina wenyewe na huyo alikaribishwa TU kipindi cha jiwe..ni kwamba ameambiwa apishe whether he likes or not
We kama unaphilwa philwa tu mkuu,,,taQo ni lako ..Ili toe ruhusa ya kufilana na kuchapa bakora watu wanaokula mchana au?
Mke yupi mkuu?umbwa yule asiyeridhika mpaka wamemtoa kwa mbinde , na ukitaka kujua kamaindi angalia sura yake kila siku anajifanyaga kujichekesha lakini wakati anatangaza kutoka kachoookaaaaaaaaa sura imepoozaaaaaaaaaaa mmaaamaaaaaaaae zao na bado walidhani watakaa milele huko, akajichukulia na mke wa yule jamaa kisa madaraka ,duniani hakuna haki tunajisahau sana, huko na kule wanaendelea kuua wenzao kisa vyeo.NRNE
mzee unaishi wapi? na voice call zote zilizovuja duhMke yupi mkuu?
Mmh kweli nipo bush...hebu nitonye mkuu!!mzee unaishi wapi? na voice call zote zilizovuja duh
This was a question of morality.. ⛓️💥⛓️💥📌Uajatumia busara. Kuna fimbo ipo nyuma ya hayo maamuzi. Mara kadhaa alinukuliwa akisema bado anautaka ubunge. Swali linakuja, je angeupata na asiteuliwe kuwa waziri Mkuu, je angebaki bachbencher naye aanze kuomba muongozo wa spika?
I second uBaada ya Gufuli kufa tuliambiwa tetesi za kuwa kulikuwa na wasimbe wa kisiasa ambao hawakutaka katiba ifatwe, hivyo basi kama ndivyo basi na yeye aweza kuwa miongoni mwao , hatima yake ya kionja joto ya wababe itakuwa imefika,
Hii sio hiari ya huyo Kaphone mwenyewe never never never
Hakuna subUkiachana na kulalama, mbona sub zifanyike nyakati zisizo za sub?