B-2 STEALTH BOMBER
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 4,649
- 6,411
Nimesahau heading yakeUnaitwaje huo uzi?
Nimesahau heading yakeUnaitwaje huo uzi?
MBona kila kitu kipo wazi.Wewe na familia yako labda. Sio kwa haya yote yanayoendelea ktk nchi
Ngoja tuoneWazalendo
Mkuu halafu wanampa 'kichwa' Bure huyo kaphone..CCM Ina wenyewe na huyo alikaribishwa TU kipindi cha jiwe..ni kwamba ameambiwa apishe whether he likes or notBaada ya Gufuli kufa tuliambiwa tetesi za kuwa kulikuwa na wasimbe wa kisiasa ambao hawakutaka katiba ifatwe, hivyo basi kama ndivyo basi na yeye aweza kuwa miongoni mwao , hatima yake ya kionja joto ya wababe itakuwa imefika,
Hii sio hiari ya huyo Kaphone mwenyewe never never never
Labda ameshindwa kufikia matarajio ya JM kwa uaminifu wake kutoka kuteuliwa na utiifu wake kwa wanamtandao, maana sidhani kama Magufuli alimtaka kwa hiari majaliwaMkuu halafu wanampa 'kichwa' Bure huyo kaphone..CCM Ina wenyewe na huyo alikaribishwa TU kipindi cha jiwe..ni kwamba ameambiwa apishe whether he likes or not
MfumoKwamba utazuiwa na Nani?
Kama ni baba yako na mama yako tu naomba usitymie neno "watanzania" sema "wazazi wangu"watanzania wana imani na utumishi wa Daktari Samia.
Mnajidanganya sana wakuu...msiyetaka yupo sana hadi amalize awamu yake, na akimaliza anakuja January MakambaKwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...
kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.
Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
🚮watanzania wana imani na utumishi wa Daktari Samia.
Watanzania. Wewe sio mtzKama ni baba yako na mama yako tu naomba usitymie neno "watanzania" sema "wazazi wangu"
Mimi ni mtanganyika mwenye uchungu na nchi yangu TanganyikaWatanzania. Wewe sio mtz
Kisheria hatuna nchi hiyo kwa sasa.Mimi ni mtanganyika mwenye uchungu na nchi yangu Tanganyika
Hasira za nini
Na idadi ya wapoga kura kuwa ndogo sana kiasi cha kutia aibuKwamba utazuiwa na Nani?
sio yeyw, huyu bado anakaza shingoKatumia busara sana! Hiyo busara ianmzidi mbali sana Bi. Mkora! Kwa kweli kwa uamuzi huo niko upande wake!
Tatizo ni ile bikini ya kike yenye kutoa uvundo wa harufu kali na chafu...hivo ndiyo sababu kuuKwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...
kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.
Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Tutaangalia namna ya kuwaongezaNa idadi ya wapoga kura kuwa ndogo sana kiasi cha kutia aibu
Mtaiba na kujiibia wenyewe kura, bado itabaki kuea chini. Sababu ccm wengi wanasapoti NrneTutaangalia namna ya kuwaongeza
Muda ukifika utaona nyomi la watu vituo vya Kura.Tutaweka hata masufuria ya nyamaMtaiba na kujiibia wenyewe kura, bado itabaki kuea chini. Sababu ccm wengi wanasapoti Nrne