Labda ame smell something Fishy, hatuwezi jua

Labda ame smell something Fishy, hatuwezi jua

Baada ya Gufuli kufa tuliambiwa tetesi za kuwa kulikuwa na wasimbe wa kisiasa ambao hawakutaka katiba ifatwe, hivyo basi kama ndivyo basi na yeye aweza kuwa miongoni mwao , hatima yake ya kionja joto ya wababe itakuwa imefika,

Hii sio hiari ya huyo Kaphone mwenyewe never never never
Mkuu halafu wanampa 'kichwa' Bure huyo kaphone..CCM Ina wenyewe na huyo alikaribishwa TU kipindi cha jiwe..ni kwamba ameambiwa apishe whether he likes or not
 
Mkuu halafu wanampa 'kichwa' Bure huyo kaphone..CCM Ina wenyewe na huyo alikaribishwa TU kipindi cha jiwe..ni kwamba ameambiwa apishe whether he likes or not
Labda ameshindwa kufikia matarajio ya JM kwa uaminifu wake kutoka kuteuliwa na utiifu wake kwa wanamtandao, maana sidhani kama Magufuli alimtaka kwa hiari majaliwa
 
Kwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...

kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.

Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Mnajidanganya sana wakuu...msiyetaka yupo sana hadi amalize awamu yake, na akimaliza anakuja January Makamba
 
itakuwa deep state wamemwambia akae kando sababu haitengenezi good chemistry.
 
Kwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...

kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.

Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Tatizo ni ile bikini ya kike yenye kutoa uvundo wa harufu kali na chafu...hivo ndiyo sababu kuu
 
Back
Top Bottom