Na weweKwamba utazuiwa na Nani?
Ili atoe ruhusa ya kufilana na kuchapa bakora watu wanaokula mchana au?Nataman tupate waziri mkuu mzanzibar
Ni sawa na kuwa na waziri mkuu mnyarwanda.Nataman tupate waziri mkuu mzanzibar
Ndiyo tunayoipigania kijana,Tunaitaka Tanganyika yetu wewe uko wapi?Kisheria hatuna nchi hiyo kwa sasa.
Nipo TangaNdiyo tunayoipigania kijana,Tunaitaka Tanganyika yetu wewe uko wapi?
Kuna mtu anaitwa GENTAMYCINE ,natamani ausome huu uzi atoe comment moja tuu.Kwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...
kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.
Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Okay homie,tushirikiane kuirudisha Tanganyika yetu mikononi mwetu,Kwa Pamoja tumkemee mkojani anayeiuza Tanganyika Kila kukicha.Nipo Tanga
HahahahaaaaI still repeat
No Man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary
Mbunge wa kuteuliwa hawezi kuwa PM, ( soma katiba)January na Nape walichukua form pia ??
Khs Kassim anaweza kupewa ubunge wa kuteuliwa na anapewa na uwaziri mkuu tena ,,,,Raisi anazo nafasi 10 za kuteua wabunge
Ngoja nifanye marejeleoMbunge wa kuteuliwa hawezi kuwa PM, ( soma katiba)
Sawa, PM ni lzm awe mbunge wa kuchaguliwa jimboniNgoja nifanye marejeleo
Niliposema hapa mapema mno mwaka huu kuwa tutegemeeni Vifo vya ghafla na vya Kushtua kabla au baada ya tukio muhimu la Oktoba si mliona GENTAMYCINE natania tu...!!! Yangu macho Mkuu ila najua kuwa yajayo hayatafurahisha kwa wengine na kwa wengine yatafurahisha.Kuna mtu anaitwa GENTAMYCINE ,natamani ausome huu uzi atoe comment moja tuu.
Mkuu genta nakuombea huku nisikie Neno lako
MhhhNiliposema hapa mapema mno mwaka huu kuwa tutegemeeni Vifo vya ghafla na vya Kushtua kabla au baada ya tukio muhimu la Oktoba si mliona GENTAMYCINE natania tu...!!! Yangu macho Mkuu ila najua kuwa yajayo hayatafurahisha kwa wengine na kwa wengine yatafurahisha.
Aliposema anagombea mlilalama nq sasa amejitoa mko mmekerekaKwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...
kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.
Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.