Laana na mikosi inayotokana na zinaa, hii kitu ina uhalisia?

Bora siye tunaopiga nyeto hatuwezi pata iyo mikosi

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujidanganya kaka. Unapopiga mgalala, ujue kabisa pepo wabaya ( sukubus, au sukubi) wanachukua mbegu unazomwaga hovyo, na kwenda kuzalisha demons.
Kwa mchezo wako wa kumwaga mbegu hovyo bafuni, chooni , au hata sakafuni jiandae, kaa ukijua kuwa una watoto demons huko katika vilindi vya maji.
Kalaga bahho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashifikiri kuna cha kujifunza hapa, .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Illiteracy is real!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu toka lini mikosi ikaambukizwa ? wanaambukizana magonjwa sio mikosi
Mikosi na balaa zinambukizwa kupitia uzinzi na uasherati. Hata kifafa kinaambukizwa kupitia njia hii.
Wengi wanasema kuwa kifafa ni ugonjwa unaotokana na kasoro kwenye ubongo. Lakini fahamu kuwa ukilala na mwanamke mwenye kifafa, lazima utakuwa umekiingiza katika uzao wako.
Kuna jamaa mmoja alitueleza kuwa alizini na mwanamke miaka ya 19seventies, alikuwa dreva , baada ya Siku mbili si akagonga punda (kihongwe). Akaendelea na safari yake alipofika, kesho yake akasimamishwa kazi katika mazingira ya kutatanisha , baada ya wiki, akatimuliwa kazi.
Kalaga bahho!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nilikua najaribu kudadisi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vyote Mungu alivipanga kabla avijatokea wacha kumpa lawama mwanamke wa watu , wala hakuna kuambukizana laana bali magonjwa toka shimoni huko
 
Nadhani laana nyingi zinatoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume, unaweza kumvua mwanamke chupi usipooga hiyo siku ikwa ya mikosi na bahati mbaya sana kwako.. Ila kuna wanawake wengine ukimvua chupi siku yako inakuwa ya bahati sana hadi unajishangaa.

Wanaume wengi wamepitia hili..

Ukisha mfahamu demu fulani anabahati ukimkula basi hiyo siku hauogi.
 
Bora siye tunaopiga nyeto hatuwezi pata iyo mikosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna madhara. Ungekuwa unafanya kazi kama za uwindaji, uvuvi au kwenye uchimbaji mdogo wa madini ungekuwa umeshaunganisha dot na kuyabaini. Mi huo mchezo nishaufanya na nilishautathimini kulingana na mapato ya siku husika. Tena bora hata uzinzi kuliko chaputa inavyofunga nyota katika kipato. Sema tu uzuri huwa gundu lake halidumu zaidi ya siku moja. Ndiyo maama huwa nivigumu kuyabaini matatizo yake. Maana kesho. mambo yanaenda sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…