Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,020
- 3,552
Endelea kujifunza mkuuWasalimie igombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujifunza mkuuWasalimie igombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujifunza mkuuNaendelea kujifunza mengi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Siko igombe kwa sasaWasalimie igombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanadamu tumepangiwa vipawa/karama mbali mbali tangu tukiwa wadogo,vipawa hivi vinaweza kuchafuka kutokana na matendo machafu ya kidunia ayatendayo mhusika.
Uzinzi au uasherati ni moja kati ya vitu vikubwa na rahisi vinavyoweza kuchafua nyota au kibali cha mtu,
Watu wanatembea sehemu mbali mbali na wanatenda mambo mengi mazuri kwa mabaya,sasa unapokuja kukutana na mtu ambaye mwili wake tayari umeshachafuka na ukafanya nae uzinzi tayari na wewe unakuachia vitu vyake ,nuksi mikosi na mabalaa aliyonayo munayashare wote
Tendo la ndoa huhusisha mwili na roho pia,makutano hayo ya wawili huwa ni makubaliano ya kiroho na mwili ndio mana kuivaa mikosi ya mtu ni kitu cha kawaida tu.
Wewe jifikirie mtu katoka kwa mganga na kaelezwa akakutane na mwanamke yeyote alale nae,kachanjwa machale na ndumba za kutosha,anatoka pale anaenda kwa kahaba,anamtangazia dau,anafanya yote anayojua kwa kahaba huyo.
Kisha na wewe unaenda kwa kahaba huyo huyo unalala nae ,unazani utakuwa salama?,hiyo mikosi yote aliyoachiwa kahaba na wewe unaivaa,
Haya mambo unaweza ukachukulia poa poa lakini huwa yanatesa sana watu.
Ndo maana hata vitabu vya dini vinapiga vita sana uzinzi,si kwa sababu ya kuonewa wivu kwa huo utamu,hapana,ni kutokana na tendo lenyewe adhimu lilivyo na mambo yanayoendana nalo,
Kuna watu waovu,wanamashetani,maruhani ya kutosha na wanamikosi na nuksi za kutosha hata ndege wa angani huwa wanawazomea wakipita,kuna watu hata akipita kwako mchana kweupe lakini utasikia anabwekewa na mbwa wako,hawafai ,hawana jambo linalowaendea sawa ,kila kukicha wao na waganga ,kila kukicha wanalazwa makabulini harafu leo unakuja na tamaa zako unachomeka dudu yako na inazama kabsa unaenjoy ,mmmh! Nakwambia hutatokapo salama,si mwanamke si mwanaume hiyo mikosi ipo pote na watu wanatembea nayo.
Wewe jiulize kwa nini unaenda interview mmoja anachukuliwa na mwingine anaachwa,huenda mmesoma chuo kimoja na taaluma yenu ni moja na viwango vya ufaulu huenda vipo sawa,kuna vitu wanadamu tunavyo vinavyotupa kukubalika mbele za watu au jamii na vyenyewe vinazidiana viwango classes, A to F,
Waswahili ndo huita nyota ,mimi ninakiita kibali,hiki kikikosekana ndo pale mtu anakuwa mtu wa kuonekana hana mana katika jamii,anakuwa ni mtu wa kupuuzwa tu,hata ukijaribu kuongea unashangaa anatokea mtu anatoa kejeri kwako na huenda ulikuwa na point nzuri tu.
Haijalishi uwe na elimu au usiwe na elimu,kibali kikikosekana ni shida katika maisha,utazunguka kuomba kazi hupati,utatafuta pesa usiku na mchana utatoka kapa tu.utasemesha mrembo balabalani lakini atakuignore kana kwamba anakujua mpka unapo lala ,kumbe waaala, ndo mmekutana
Tena waogope sana wadada wanaojiuza ,hao nuksi kwao huwa ni zakufikia,wanakutana na watu kutoka machimboni wameoga madawa na kuambiwa wakalale na wanawake, yani yale mabalaa wakawaachie,
Unakuta katoto miaka 16-18 kanajiuza kakipewa 20k jamaa linalala nako usiku kucha na asubui linaenda bafuni linaoga tena madawa linasepa,limekaachia mikosi yote na kubeba hata kidogo kalichonacho matokeo yake hako ka mdada kanakuwa na roho ya kukataliwa hadi uzeeni wake.
Mikosi wazee ipo na pia tuwe tunaangalia na familia za kuoa au kuolewa kuna zingine zina laana ya vizazi,ukijichomeka na wewe unaunga tela utashangaa mambo hayaendi kumbe mwenzako ana roho ya kuanguka na wewe imeshakuvaa hamuwezi kufika mbali .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli inasikitisha kuona waswahili walivyo washirikina! Yaani kila kitu lazima kihusishwe na imani fulani.. Ndio maana hatuendelei😂😂😂😂 Acheni ujinga ase
21st Century Kweli...
Ngoja nianze kudoo na mademu clean watoto wa matajiri niambukizwe utajiri ......Kwani Hakuambukizi utajiri..
Kama una Matatizo yako unayo tuu acheni kisingizia watoto wa watu...
Mkuu toka lini mikosi ikaambukizwa ? wanaambukizana magonjwa sio mikosi
ndio unijuze njia gani mnatumia.kuambukizana mikosi ?Jambo usilolijua uliza ufundishwe
Wanapenda kutishana ujinga sana😂😂😂😂 Acheni ujinga ase
21st Century Kweli...
Ngoja nianze kudoo na mademu clean watoto wa matajiri niambukizwe utajiri ......Kwani Hakuambukizi utajiri..
Kama una Matatizo yako unayo tuu acheni kisingizia watoto wa watu...
Kwa hiyo ukizini na mtu anayetoka familia tajiri bila shaka nawe unatajirika si ndio maana yake?Unapofanya mapenzi na mtu jua kabisa mnabadilishana roho chafu na nzur, mizimu na laana zote za mabibi mnabadilishana, kama mmoja wenu alikuwa na mikosi inamwandama jua kabisa umeibeba na wew hio mikosi
Tendo la ndoa ni jambo kubwa mno watu siku hizi wamelichukulia kama kiburudisho, mpaka nyuma ya choo wanavuana vyupi
Ndio maana unaweza fanya na mtu leo mapenz ghafla kazin ukaanza kuchukiwa bila sababu, pesa inaanza kuonekana ngumu na inapotea kabisa, mambo yanaenda ovyo mpaka kazi unaweza timuliwa, unabaki unajiuliza tuu bila kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanadamu tumepangiwa vipawa/karama mbali mbali tangu tukiwa wadogo,vipawa hivi vinaweza kuchafuka kutokana na matendo machafu ya kidunia ayatendayo mhusika.
Uzinzi au uasherati ni moja kati ya vitu vikubwa na rahisi vinavyoweza kuchafua nyota au kibali cha mtu,
Watu wanatembea sehemu mbali mbali na wanatenda mambo mengi mazuri kwa mabaya,sasa unapokuja kukutana na mtu ambaye mwili wake tayari umeshachafuka na ukafanya nae uzinzi tayari na wewe unakuachia vitu vyake ,nuksi mikosi na mabalaa aliyonayo munayashare wote
Tendo la ndoa huhusisha mwili na roho pia,makutano hayo ya wawili huwa ni makubaliano ya kiroho na mwili ndio mana kuivaa mikosi ya mtu ni kitu cha kawaida tu.
Wewe jifikirie mtu katoka kwa mganga na kaelezwa akakutane na mwanamke yeyote alale nae,kachanjwa machale na ndumba za kutosha,anatoka pale anaenda kwa kahaba,anamtangazia dau,anafanya yote anayojua kwa kahaba huyo.
Kisha na wewe unaenda kwa kahaba huyo huyo unalala nae ,unazani utakuwa salama?,hiyo mikosi yote aliyoachiwa kahaba na wewe unaivaa,
Haya mambo unaweza ukachukulia poa poa lakini huwa yanatesa sana watu.
Ndo maana hata vitabu vya dini vinapiga vita sana uzinzi,si kwa sababu ya kuonewa wivu kwa huo utamu,hapana,ni kutokana na tendo lenyewe adhimu lilivyo na mambo yanayoendana nalo,
Kuna watu waovu,wanamashetani,maruhani ya kutosha na wanamikosi na nuksi za kutosha hata ndege wa angani huwa wanawazomea wakipita,kuna watu hata akipita kwako mchana kweupe lakini utasikia anabwekewa na mbwa wako,hawafai ,hawana jambo linalowaendea sawa ,kila kukicha wao na waganga ,kila kukicha wanalazwa makabulini harafu leo unakuja na tamaa zako unachomeka dudu yako na inazama kabsa unaenjoy ,mmmh! Nakwambia hutatokapo salama,si mwanamke si mwanaume hiyo mikosi ipo pote na watu wanatembea nayo.
Wewe jiulize kwa nini unaenda interview mmoja anachukuliwa na mwingine anaachwa,huenda mmesoma chuo kimoja na taaluma yenu ni moja na viwango vya ufaulu huenda vipo sawa,kuna vitu wanadamu tunavyo vinavyotupa kukubalika mbele za watu au jamii na vyenyewe vinazidiana viwango classes, A to F,
Waswahili ndo huita nyota ,mimi ninakiita kibali,hiki kikikosekana ndo pale mtu anakuwa mtu wa kuonekana hana mana katika jamii,anakuwa ni mtu wa kupuuzwa tu,hata ukijaribu kuongea unashangaa anatokea mtu anatoa kejeri kwako na huenda ulikuwa na point nzuri tu.
Haijalishi uwe na elimu au usiwe na elimu,kibali kikikosekana ni shida katika maisha,utazunguka kuomba kazi hupati,utatafuta pesa usiku na mchana utatoka kapa tu.utasemesha mrembo balabalani lakini atakuignore kana kwamba anakujua mpka unapo lala ,kumbe waaala, ndo mmekutana
Tena waogope sana wadada wanaojiuza ,hao nuksi kwao huwa ni zakufikia,wanakutana na watu kutoka machimboni wameoga madawa na kuambiwa wakalale na wanawake, yani yale mabalaa wakawaachie,
Unakuta katoto miaka 16-18 kanajiuza kakipewa 20k jamaa linalala nako usiku kucha na asubui linaenda bafuni linaoga tena madawa linasepa,limekaachia mikosi yote na kubeba hata kidogo kalichonacho matokeo yake hako ka mdada kanakuwa na roho ya kukataliwa hadi uzeeni wake.
Mikosi wazee ipo na pia tuwe tunaangalia na familia za kuoa au kuolewa kuna zingine zina laana ya vizazi,ukijichomeka na wewe unaunga tela utashangaa mambo hayaendi kumbe mwenzako ana roho ya kuanguka na wewe imeshakuvaa hamuwezi kufika mbali .
Sent using Jamii Forums mobile app