La petit Mort; Kila binadamu anaeishi ameshakufa kidogo kidogo mara nyingi tu Maishani mwake.

Lazima wakudhanie umechanganyikiwa mkuu hasa kama ukijua kitu unamwambia kila wa karibu yako.
Kundi kubwa la wanadamu linakokotwa na uongo mwingi, hivyo pale unapojua jambo jipya jitahidi kuwa kimya na ukitaka kulisema angalia wa kumwambia.
Huwezi kumfundisha mwanafunzi wa darasa la 2 masomo ya kidato cha 6 akakuelewa atakuona kama unarap vile
Sure asee,, siku hzi siwaambii tena mambo adimu adimu mana level yao ya kufikiri iko tofaut sana na mm

Bora niwe naongea na kina Humble tuu huku Jf ndo tutaelewana
 
We jidanganye tu yakuwa ile process ya kutoka roho ni taamu kama orgasm!
Jiulize ni kwanini watu wengi wakiwa ktk hatua za roho kutoka wajikaza, kulia mpaka wengine huacha haja kubwa.
Hizo ni perceptions tu hakuna aliyekufa akarudi kutupa fact abt what's there.
 
We jidanganye tu yakuwa ile process ya kutoka roho ni taamu kama orgasm!
Jiulize ni kwanini watu wengi wakiwa ktk hatua za roho kutoka wajikaza, kulia mpaka wengine huacha haja kubwa.
Hizo ni perceptions tu hakuna aliyekufa akarudi kutupa fact abt what's there.
Kwa mantiki hiyo hata wewe unajidanganya .... maana hata kwenye kupizi pia watu wanakakamaa mwili na wengine hujamba kabisa...! Wengine hutumbua mijicho
 
Sure asee,, siku hzi siwaambii tena mambo adimu adimu mana level yao ya kufikiri iko tofaut sana na mm

Bora niwe naongea na kina Humble tuu huku Jf ndo tutaelewana
Ndio hivo Mr, vitu vingine bora uwe mshuhudiaji tu kuliko kumwaga dhahabu sehemu pasipostahili
 
Humble African i love u,one day tutapata la petit morte
Huwa najisemea huyu mwanamke anaonekana nikiingia kwenye kumi na nane zake atanchakaza sana!

Honestly, huwezi ukatoa love utegemee kupewa chuki...ukitoa love lazma urudishiwe love...hates cant be the rewards for your sweet love hun. I love you too Zahra White

I want to give you some gud gud loving. I'm waiting for appointment of that deathless death.

Kisses and hugs.
 
La petit Mort, tamka (la petii mwa) neno la kifaransa hili lililopata umaarufu zaidi karne ya 19th century.. Likiwa na maana "little death" kwa kiingereza na "kifo kidogo" kwa kiswahili. Ukisikia mtu anasema la petit Mort anakuwa anamaamisha orgasm climax( mshindo, kupiz) ambapo mtu anaingia rohoni kutokana na mchakato mzima wa kupiz ulivyo ni wa kifo kidogo zaidi kiroho wa kuondoka mwilini kwa muda kadhaa hadi pale mshindo utakapoishia ndipo anarudi tena mwilini.

Kiukweli, Mshindo ni kitu cha ajabu sana na takribani watu wengi kuanzia waliobalehe tumeshakipitia na kukihisi kilivyo yaani kikianza kuja unasikia na kuhisi Dunia yote iko chini yako,unashau madeni, cheo chako, uimara wako, mwili wako.... kila kitu then unakuwa wewe yule halisia wa rohoni usie hangaika na Dunia huyu ni wewe wa rohoni ambae hujawahi kukopa Vikoba wala Saccos. Wewe alie uchi mwilini na rohoni ambae muda huo huo ukiwa unakaribia kufika mshindo unahisi kuna energy tamu inapita kwenye uti wa mgongo na kusambaa mwili mzima hadi kwenye vidole vya mikono na miguuni, mwili unasisimka ajabu kwa raha ya ajabu isiyomithilika wala kuelezeka kwa lugha yeyote kirahisi then ile energy inajikusanyaa afu inalipuka mwili mzima paaaa.....Mmmmmmm! Raha iliyoje!? Unakuwa umefikia mshindo...umepiiz! Hapo wakati raha inajikusanya ndio ulikuwa unapata "la petit Mort"... Unajifia kwa sekunde kuanzia 3 hadi 5 kwa kuondoka mwilini.

Ni ndani ya kitendo hicho ulikuwa unaelekea kwenye timeless, formless and blissful void. Hakuna Mawazo, hakuna hofu, hakuna emotions, hakuna mwili, hakuna kitanda, inakuwa ni muda maalumu una experience something beyond our physical world can explain simply a mysterious experience. Tukifika hapa tuna experience absolute nothingness..... Lakini kwa wakati huo huo its pure ecstasy..raha isiyo kifani na kuingia kwenye ukweli wa rohoni ambako kuna..

Very pure, divine, ecstatic and blissful void.

Sikia hii; Jamii ya kale kabisa ya Tantrikas ya kule India walioasisi Na kugundua style nyingi za kupeana mahanjamu hanjamu kitandani zile za "Kamasutra" waliamini orgasm is the gateway to spiritual world. The same na wafaransa waliamini na kukubali hiyo concept ya Watantrikas ndio maana na wao wakaasisi msemo wa "la Petit Mort". Kwamba Tukipata orgasm tunakufa kidogo maana tunatoka mwilini na kuishi rohoni kwa muda huo mchache ambao hiyo orgasm itadumu hivyo kwa vile tunahamia rohoni kwa muda technically tunakuwa tumekufa kidogo sababu waliokufa huwa wanatoka mwilini na kuhamia rohoni...kwao orgasm ni zaidi ya hormonal chemical release ile ya oxytocin inayoimarisha bonding kwa wanaofanya tendo bali ni spiritual release and blissful experience ya rohoni ambayo inapatikana kwa kutoka mwilini na kuingia rohoni tu.

Ukiachilia mbali intense meditation na yoga pia orgasm ndio kitu kinachoweza kumfikisha binadamu hadi rohoni na kurudi bila kufariki kabisa yaani ile ethereal cord inayounganisha mwili na roho haikatiki . Ninaamini kuna mtu alishasikia mtu kafia juu ya kifua cha mwanamke au mwanaume baada ya utamu kuzidi.... Ile inakuwa ni intense orgasm inayomtoa nje ya mwili kwa muda mrefu tofauti na kawaida na anaingia rohoni kwenye raha isiyomithilika via ethereal cord ya rohoni then anapotaka kurudi anajikuta hawezi tena maana sometimes Cord huwa inakatika kutokana na intense pleasure anabakia huko huko as a spiritual being then anatuachia kasha/mwili ambao tunakuwa hatuna kazi nao zaidi ya kwenda kuufukia chini ya ardhi ili minyoo na mchwa wachukue madini na viini lishe ili kuipa ardhi rutuba ili maisha ya Dunia yaendelee kunoga..and the cycle continues.

Maana mbele ya physical, kuna emotional, mbele ya emotional, kuna mental, mbele ya mental kuna spiritual..... Nifafanue hili kidogo! Jamii nyingi zenye dini na sizizo na Dini Duniani zinakiri binadamu anaumbwa na vitu vitatu Mwili, Roho na Nafsi...ambapo kwenye mwili kuna ubongo ambako ubongoni ndiko kwenye roho na kazi ya roho ni kama njia vile au mlango wa kupitishia mambo yanayotoka nafsini kuja mwilini via kichwani....viwili kati ya hivi vitatu vina mwili ukianzia na mwili wa damu na nyama then mwili wa nafsini ambao watu wanauchanganya na kuuita rohoni na roho yenyewe ni kama mlango tu ndio maana mtu akiwa anaombewa au kufanyiwa suala lolote la kiroho ashikwi tako wala mgongo bali anashikwa kichwani ili kupitisha hivyo vitu husika aidhha Baraka au uponyaji viende nafsini au mwilini. Maantiki ya haya maelezo ilikuwa kuonyesha binadamu kapendelewa kapewa miili miwili wa nafsini na wa Damu na nyama tofauti na viumbe wengine wanaoishi nafsini pekee kama majini, malaika, e.t.c na Mungu mwenyewe anaishi rohoni kwenye kitu kitaalamu wanaita "blissful state" na ni roho pekee ndio inaweza kufikia hii hali ya kuhisi na kuenjoy huu utamu usio na kipimo wala kifani wa Bliss..totally pleasure..totally ecstasy . Na ndio maana hata nafikiri Yesu anachelewa na kusita kurudi Duniani maana kuuvaa mwili na kuiacha ile blissful state aje huku Duniani sometime na watu wasimwani tena na kutaka kumfanyia kama yale ya awali..hawezi kurudi mapema kama tunavyodhani....Ahahaha! Natania hapa.

Ila ngoja nikusaidie hili juu ya hii concept ya La Petit Mort, hivi ulishajiuliza ni kwanini? Mateja wale wa madawa ya kulevya hawawezi kuacha yale madawa kirahisi? Teja akivuta heroine ile raha na stimu anayoipata ni sawa na wewe kupizi/orgasm kwa masaa 2 hadi 3 mfululizo... Hii raha ni sawa na kuwa peponi umekaa pembeni ya Messiah kwenye mji wa dhahabu tupu huku malaika warembo wasio na kifani wakikumessage very gentle and smoothly huku wakikuimbia kwa ile angelic voice yao nyimbo tamu na laini. Ndio sababu wakivuta madawa yao yale yanawapa ecstasy ya rohoni kabisa muda wote anadondosha udenda kwa utamu wa ajabu ambao hata yeye hana maneno sahihi ya kuuelezea ule utamu kwako ili umuelewe vyema..orgasm yenyewe Mtu huwezi kutoa udenda lakini teja anatoa udenda kwenye heroine na kumfanya Ku ignore yote ya mwilini na kubakia na yale ya rohoni tu kwenye raha ya ajabu ndio maana unakuta teja ni mchafu, asiejali lolote la mwilini na anakuwa ni walking dead maana amepitia La petit Mort kubwa kuliko inayomlazimu afe tu kimiwili ili akaishi kwenye hiyo raha isiyomithilika ya milele... The late Langa aliwahi kusema mwisho wa teja huwa ni taasisi, jela na kifo..akimaanisha teja akipitia taasisi za rehabilitation then akashindwa kupona ataishia jela then akipitia jela bila kurekebishika process ya mwisho ni kifo.. lazma auuwe mwili huu wa damu na nyama ili akaishi rohoni maana kashaonja utamu wake wa rohoni ukoje! Kashaonja raha isiyomithilika inayopatikana rohoni tu ya "blissful state"...sasa sisi kale ka orgasm ketu ka sekunde 4 hadi 5 tunakufa kidogo tu hawa jamaa wao wanakufa hata masaa 24 kwa wale wenye pesa za kununua madawa ya kulevya ya kutosha. Ukimpa demu anaweza kulala nae hata miaka 100 hajamgusa maana anayo orgasm yake tamu isio kifani na inadumu kwa muda mrefu maradufu ya ile ya mchuchu. Ndio maana hakuna wa kumtoa Chidi Benzi kwenye ile Dunia yake ya madawa aliyonayo...hayupo! Ameshapitia Taasisi...jela alishakwenda...you know what's next.."blissful state" hadi namuonea donge.

Hili janga la madawa lilishamgubika nguli mashuhuri wa kucharaza gitaa Duniani anaitwa Carlos Santana... Akaamua kutunga wimbo unaitwa "black magic woman" akaelezea hisia zake kwenye huu mziki jinsi alivyokamatwa na huyu mrembo mweusi wa maajabu ambae amemchoka na anajitahidi kumuacha bila mafanikio.. Watu wakajua jamaa kafall kwa kigoli cheusi Dawa wa kule Cartagena...ikapita miaka kibao ndio akaja kutoboa siri kwa kuelezea kwamba mule kwenye ule wimbo wake alimaanisha madawa yamemkamata na hawezi kuyaacha kwa utamu yanayompa na kifo ni halali yake...mstari mmoja unasema hivi..."please don't turn your back on me baby...stop messing around with your tricks,
Yes she is the black magic woman she trying to make a devil out of me" naweka lyrics na ngoma kwenye comment section.

Ukitaka kufahamu zaidi mechanism ya rohoni na mwilini jiulize kwanini!? Dini karibia zote Duniani zina utaratibu wa kufunga kula kwa kipindi flani, lengo lao kubwa ni kuhudhoofisha mwili wa damu na nyama kwa muda Na kuupa mwili wa rohoni nguvu ya kutawala kwa muda mfupi. Hivyo mwili mwili mmoja ukistawi mwingine lazma udhoofu...ndio maana mateja wakistawisha na kuishi zaidi rohoni kwa muda mrefu, mwili wa damu unasinyaa na kuwa tia maji tia maji na kwa vile mwili wa nyama ni fragile sana na mwepesi kuharibika teja kifo lazma kimuhusu akaishi rohoni moja kwa moja but wa rohoni wenyewe ni strong na tough zaidi sababu ni energy hivyo hata kama usipoupa kipaumbele wala kuujali sana kwa muda mrefu still haiwezi kuharibika easily sababu wenyewe ni immortal and infinity ndio maana wenyewe huwa unajaliwa kwa mwezi mmoja tu ndani ya mwaka mzima then miezi ikiyobaki ni wa mwili wa nyama unamwagiliwa kwa misosi na vinywaji vile vinavyotajagwa na Inspector Haroun.

Let's face it!, Binadamu wengi tunakitizama kifo kama ni kitu kibaya na cha kutisha na kuogofya sana ila kiuhalisia sisi tulio onja near death experience tunajua how wonderful it is kuishi kwenye ile truest of all truth moment..spirit..life force material.. Fukuto la rohoni lenye utamu usio na maneno ya kuuelezea, Amani, Upendo na Uhuru wa ajabu wote.. ambao tunajua sisi tulio onja kifo na mateja wanaokula unga pekee. Tumefahamu fear of death ni kwa ajili ya survival instinct pekee tu za kujihami ili tusione ni normal kufa ili maisha yaendelee Duniani unless wote tungekimbia Duniani maana death is an illusion of the mind.

Tukutane kwenye comments kwa ajili ya kubadilisha na uzoefu, Mawazo, maoni e.t.c

I'm doneView attachment 813716
Hiyo picha nime isave itanisaidia katika shughuli zangu
 
Tunaheshimu tu sheria za nchi, vinginevyo tushajitanguliza wenyewe.

Hizi vurugu za dunia wengine ni kero tupu.

Nashangaa wanaoshukuru Mungu kuwaamsha wazima!!!!
Nikipata muda nitazungumzia kitu kimoja kinaitwa "Memento Mori" yenye maana remember you must die someday.

Pia nashangaa mtu anaogopa kufa wakati its the must process kwa kila mmoja kupitia...unawazeje kuogopa kitu ambacho ni lazma ukipitie?

Death will make all of us forever pure and forever true.
 
Last edited:
Back
Top Bottom