La petit Mort; Kila binadamu anaeishi ameshakufa kidogo kidogo mara nyingi tu Maishani mwake.

Hamna hasara yeyote isipokuwa mnakuwa hampati nafasi ya kushuhudia utamu wa rohoni mara nyingi kama wengine wanaokula bumunda always though na wao mara nyingi ufariki mapema maana wanakuwa wameuchosha zaidi mwili wa damu na nyama kwa kuua mara kwa mara.

La petii mwaa is the best....
Duh....! Mkuu unanishawishi ujue, wacha nifanye mchakato....tatizo ile jinsia nyingine nawaonaga kama wezi vile....
 
haielezeki akajaribu tu ushasema mwenyew apo ni mysterious experience
Mbona Mimi nimejaribu kadri ninavyoweza hebu tushirikishe kwako huwa inakuwaje kwenye la petii mwa ?

I'm just curious? Inadumu kwa muda gani? Naamini climax ya mwanamke ni tofauti na mwanaume?
 
Hiyo extremely pleasure ya orgasm inadumu kwa sekunde chache lakini sasa unaji feel the whole universe ni yako
Halafu unahisi kama kuna kitu Fulani muhimu sana umekitoa!!
Nimekufa Mara nyingi sana,kama kufa ndio acha nipite zangu hivi
 
Hiyo extremely pleasure ya orgasm inadumu kwa sekunde chache lakini sasa unaji feel the whole universe ni yako
Halafu unahisi kama kuna kitu Fulani muhimu sana umekitoa!!
Nimekufa Mara nyingi sana,kama kufa ndio acha nipite zangu hivi
Kwa hiyo unataka kupita kando sababu ya kifo au nini mkuu?
 
Namaanisha woga dhidi ya kufa umepungua!!
Sasa kama kufa kwenye we ni raha hivi kuliko kuishi kwa mastress,magonjwa na shida mingi kuliko raha bora tu enjoy hayo maisha ya rohoni
Nadhani Ndio maana hata Mungu anatuficha utamu wa rohoni maana fikiri tukijua mazuri ya rohoni huku Duniani watabaki ndege tu na mawe.

Wote tutajiua tuhamie huko rohoni anakoishi yeye mwenyewe mzazi mkuu.
 
Nakubaliana na wewe 100%
This is true mkuu!

Mateja wanatupa somo kwamba rohoni kumenoga basi tu sisi tunapaogopa maana hatujawahi kufika ila mateja kwa vile wao wameshawahi kufika na ni wenyeji hawapaogopi tena bali wanatamani kwenda wanaishi huko huko eternity.

We are immortal!
 
Back
Top Bottom