nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Mheshimiwa amefata ushauri wa JF. Kuna siku nilisoma wanasema nywele ziko ovyo. Mnaona! Mtu akiwa natural mnachonga, akiweka dawa mnachonga. Huyu mama niliona picha yake juzi juzi, humu humu watu wanasema mbona nywele hazieleweki. Sasa hapo mnasemaje wadau?