Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
- Thread starter
- #21
Mimi ni mwanamke ila kuna wanawake wengine wanakera yaani wanavaa mawigi ambayo hayaendani na rangi, sura na mengine hayajashonewa vizuri ilimradi tu kafunika nywele halisi..mawigi mengine ya ki-blonde na yamefika hadi kiunoni, mweeh!!...halafu tatizo lingine ni kuwa wengine wanavaa/shoea mawigi kumbe nywele za ndani zipo kiholela yani wigi likidondoka aibu yao..kuna wanawake wengine mawigi yanawatoa vile vile..
Nashukuru kuwa na nywele fupi na sijawahi kuvaa wigi, kwanza joto kali dar..
Asante dada!