La mgambo limelia jamani natangaza sensa ya wanaume wasiopenda mawigi!

Have you ever been in love?


Ningefurahi kama ingetokea siku moja wanawake tukawa na confidence japo ya kufanya mambo kwa ajili yetu kwanza na si kwa ajili yakumplease binadamu wa kiume! Kama manywele ya bandia yanakufanya ujisikie kuwa ni mrembo go ahead a wear them;

but kama ni mrembo toka moyoni n u r confident na u don't feel like urembo wako unakuja ukifanana na muhindi au Mzungu achana nayo! Huyo mwenzio kama yuko attracted na manywele hayo he can be better of with wadosi, wazungu or sokwe!
 
Dada sio siri asilimia kubwa ya wanaume wengi hatupendi mawigi/weavings......naweza kucompromise kama weaving yenyewe iko bomba hadi inakufanya uamini kuwa hizo nywele ni zako mfano wa Beyonce. Lakini hakuna kitu kinakera wanaume tulio wengi kama tukiona mdada amevaa wigi/weaving tena kwa macho tu unajua

Now you are talking!
 
Huo ndio udikteta wa mapenzi.
how! Do u know to what extent kinadada wanaenda kwa ajili yenu? Yet bado wanatendwa na mwisho kujiona hawafai!

Mnachukia kina dada wanaojichubua, wanaovaa mawigi nk; lkn ni nyie hao hao mnawafanya wawe so insecure; haijalishi kinadada waliohudhuria madarasa au machangu. Nafuu hata machangu hawadanganyiki; cos they know what they r up to and what to expect!
 
sijui kwa nin hii picha inagoma,ingehitimisha mjadala.
kwa hiyo ndio mmesema mawig hampendi sio,sawa tumesikia na tutawafikishia ujumbe wengine
 
Kwa mfano kama mnatoka out ukivaa nguo unayoona imekutoa kweli kweli, akakwambia "honey mimi naona ile nguo yako nyekundu inakutoa zaidi"; utabadilisha au utamwambia, "najua nimependeza lets go"

Yes hny! I have been n l am still in love! But not to an expense of not being myself!
 
Halaf kuna wengine wanavaa mawigi ya kitani, kwenye mchezo ukijifanya una mzuka wa kuvuta manywele yanakukatilia mbali vidole, yalaaniwe mawigi.

Ha haa haaa hakika nimecheka sana kwahiyo mpaka umalize mchezo ni damu vidole vyote haa haaa.
 
Kwa mfano kama mnatoka out ukivaa nguo unayoona imekutoa kweli kweli, akakwambia "honey mimi naona ile nguo yako nyekundu inakutoa zaidi"; utabadilisha au utamwambia, "najua nimependeza lets go"

Those r very minor issues, nitabadilisha unless kama haindani na what l call my morals mf; anaenda kumake a business deal, partner wake ni weak kwa wanawake na my sweetie anataka kunitumia na akapropose nivae kidress kifupi sana au in short nusu uchi ili aweze kuclose deal na business partner wake; surely l won't do it!

Mahusiano ni compromise; lkn si vyema kumcompare mwenza wako! Siku hizi wanaume wengi huwalipia wenzi wao kuongeza boobs; lakini ni wanawake wangapi huwaambia wenzi wao waongeze ukubwa wa mikuki yao? I bet siku ukisuggest na talaka juu!
 
Mfano ulotumia umekaa ki movie zaidi. Nani anaweza mwambia wife awe chambo!

Nashukuru umekubali kuwa ukipenda hata mavazi na muonekano wako kwa ujumla lazima yamvutie mwenza wako. Kwa hiyo wale wa vipara haya. Wale wa mawigi haya. Mradi jamaa anapata kitu roho inataka!

Those r very minor issues, nitabadilisha unless kama haindani na what l call my morals mf; anaenda kumake a business deal, partner wake ni weak kwa wanawake na my sweetie anataka kunitumia na akapropose nivae kidress kifupi sana au in short nusu uchi ili aweze kuclose deal na business partner wake; surely l won't do it!

Mahusiano ni compromise; lkn si vyema kumcompare mwenza wako! Siku hizi wanaume wengi huwalipia wenzi wao kuongeza boobs; lakini ni wanawake wangapi huwaambia wenzi wao waongeze ukubwa wa mikuki yao? I bet siku ukisuggest na talaka juu!
 
Alafu wadau nyie nywele zetu wa afrika mnazijua. Yaani hiki kipilipili nikiache natural si kila mtu ataniona kichaa. Hata mama zetu walikuwa wanachoma nywele those days kwa kutumia vigae. Kwa kweli hii nywele bila dawa basi kipara tu.
 
Halaf kuna wengine wanavaa mawigi ya kitani, kwenye mchezo ukijifanya una mzuka wa kuvuta manywele yanakukatilia mbali vidole, yalaaniwe mawigi.

teh teh teh,
umenichekesha sana,sasa siku ukipiga goli 3 si kiganja kwisney,
siku nyingine ukienda uvae gloves,
 
Mfano ulotumia umekaa ki movie zaidi. Nani anaweza mwambia wife awe chambo!
Nashukuru umekubali kuwa ukipenda hata mavazi na muonekano wako kwa ujumla lazima yamvutie mwenza wako. Kwa hiyo wale wa vipara haya. Wale wa mawigi haya. Mradi jamaa anapata kitu roho inataka!
Aisee huo mfano ni sort of live; jamaa alikuwa anahitaji mkopo kwa Tajiri mpenda wake za watu na alimtumia mkewe, hivi vitu vipo!

But nani kasema mwanamke wa kiafrika ni kipara? Anyway l love when women feel GOOD about THEMSELVES no matter what n how they dress n make them selves up!

Tumehijack sredi ya watu, nafikiri wanaume walitakiwa kuchangia zaidi!
 
Alafu wadau nyie nywele zetu wa afrika mnazijua. Yaani hiki kipilipili nikiache natural si kila mtu ataniona kichaa. Hata mama zetu walikuwa wanachoma nywele those days kwa kutumia vigae. Kwa kweli hii nywele bila dawa basi kipara tu.
Nafikiri mtoa mada alimaanisha extensions sio kutreat nywele zako ulizozaliwa nazo.
 
Nimefuatilia michango ya watu ndio maana nime conclude watu wanataka tuwe vipara sasa.

Kwanza extension ni less harmful ukilinganisha na madawa ya nywele, though am using both!

Nafikiri mtoa mada alimaanisha extensions sio kutreat nywele zako ulizozaliwa nazo.
 
MakindaDom.jpg
MakindaDom.jpg

WEWE UMENUNUA KESI NA SIRIKALIIIII
 
Back
Top Bottom