passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,514
- 12,487
Wanasiasa wa Tanzania wanalakujifunza kuhusu issue ya Epstein. Mjue kuwa mambo yenu machafu mnayofanya ili mbaki madarakani kama mauaji ya October 29 na ushetani mwingine mwingi siku moja yatadhihirika hadharani na maisha yenu na familia zenu yataisha kwa aibu.
Kila mtu atawakataa.
Kila mtu atawakataa.