Ngereja,
Mkuu samahani mbona mimi nakumbuka PPF ipo toka miaka ya 80 kama sio 70s!.... naomba somo mkuu wangu..
Heshima mbele mkuu,kumbuka PPF ilikuwa ni kitengo ndani ya NIC mpaka kilipoaanza kujitegemea rasmi mwaka 1992.PPF ilianzishwa mwaka 1978 chini ya sekretarieti ya shirika la bima la taifa,hadi kufikia mwaka 1992,ilipojitenga na kuwa shirika linalojitegemea.
Ni hivyo tu mkuu,nafikiri huo ufafanuzi unakuweka mahali pazuri.