Phoenix JF-Expert Member Sep 6, 2012 10,587 15,450 Dec 31, 2017 #1 Je unafikiri umemaliza mwaka vibaya? La hasha kabisa!Kuna tetesi kuwa mlimbwende Kylie,amwagwa na mpenzi wake!Tena akiwa mjamzito. Usiombe ikukute.. waweza kuzaa siku sio zako. Namwonea imani,kama ni kweli.
Je unafikiri umemaliza mwaka vibaya? La hasha kabisa!Kuna tetesi kuwa mlimbwende Kylie,amwagwa na mpenzi wake!Tena akiwa mjamzito. Usiombe ikukute.. waweza kuzaa siku sio zako. Namwonea imani,kama ni kweli.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,870 155,832 Dec 31, 2017 #2 Ndio ajijye yeye ni zilipendwa
Phoenix JF-Expert Member Sep 6, 2012 10,587 15,450 Dec 31, 2017 Thread starter #4 Bujibuji said: Ndio ajijye yeye ni zilipendwa Click to expand... Wanaume hamna huruma ninyi!
swank JF-Expert Member Jan 17, 2017 748 1,041 Dec 31, 2017 #5 Nae alizidi jamani, miaka 19 abeba mimba badala ya kula maisha kwanza na pesa anazo Pole kwake she is my favorite kardashian
Nae alizidi jamani, miaka 19 abeba mimba badala ya kula maisha kwanza na pesa anazo Pole kwake she is my favorite kardashian
Luvanga1 JF-Expert Member Jun 5, 2014 2,025 1,701 Dec 31, 2017 #6 dhambi dada wa watu, aje kwangu tu nianze nae mwaka 2018
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,870 155,832 Dec 31, 2017 #8 Ms.Lincoln said: Wanaume hamna huruma ninyi! Click to expand... nyie mkitubwaga mnakuwa mmetuhurumia nini?
Ms.Lincoln said: Wanaume hamna huruma ninyi! Click to expand... nyie mkitubwaga mnakuwa mmetuhurumia nini?
Numbisa JF-Expert Member Dec 12, 2016 268,184 1,095,288 Dec 31, 2017 #9 Duh kardashians walizoea kumwaga sio kumwagwa
uhurumoja JF-Expert Member Mar 2, 2014 5,221 9,224 Jan 1, 2018 #12 Asa huyu kamwagwa tatizo itakuwa nini basi wazuri hawapo
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,602 112,658 Jan 1, 2018 #13 Kama ni kweli pole zake kwakweli
Kyokola JF-Expert Member Sep 5, 2014 1,402 1,889 Jan 3, 2018 #14 Ms.Lincoln said: Wanaume hamna huruma ninyi! Click to expand... Bujibuji sijui amekuwaje siku hz
The Tomorrow People JF-Expert Member Jul 11, 2013 2,662 2,745 Jan 3, 2018 #15 Kuachwa kwake kuna athiri mapambano yetu kuelekea uchumi wa viwanda?
Dejane JF-Expert Member Jan 1, 2014 49,654 68,613 Jan 4, 2018 #17 Waliachana na tyga kisa nini walikua wanapendeza Halaf mboba Rob harudi insta jamani Khole nae ana mimba
Waliachana na tyga kisa nini walikua wanapendeza Halaf mboba Rob harudi insta jamani Khole nae ana mimba
Dejane JF-Expert Member Jan 1, 2014 49,654 68,613 Jan 4, 2018 #18 Halaf hii familia wanapenda wanaume weusi tu
Don Clericuzio JF-Expert Member Dec 8, 2017 16,936 40,518 Jan 4, 2018 #19 Ms.Lincoln said: Wanaume hamna huruma ninyi! Click to expand... Hii familia unaijua? Haihitaji hata kuhurumiwa kwenye issue za mapenzi.
Ms.Lincoln said: Wanaume hamna huruma ninyi! Click to expand... Hii familia unaijua? Haihitaji hata kuhurumiwa kwenye issue za mapenzi.
Sonia G JF-Expert Member Jul 13, 2014 3,059 3,870 Jan 4, 2018 #20 Dinazarde said: Halaf hii familia wanapenda wanaume weusi tu Click to expand... Mihogo ya jagombe imewadatisha
Dinazarde said: Halaf hii familia wanapenda wanaume weusi tu Click to expand... Mihogo ya jagombe imewadatisha