Hasa USA na myahudiUkianzisha movement dhidi ya utawala hakikisha una backup ya USA au Russia
PJ aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba
Nafuu iwe hivyo aisee. Maana mmmhPK aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate Wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba
Huenda mission imekamilika na sasa ataenda kusomewa hukumu ya uongo na kweli kisha analipwa kilicho chake na anandoka Rwanda akapumzike nchi za Ulaya maisha yake yote.Najaribu kufikiria watakachomfanya hao vijana wa Kagame........sijui kama alijiandaa kwa lolote ama ni mihemuko tu ilimsukuma kuongea alichoongea.
Joan Guaido anaishi hadi leo. Huyo dogo naona kipindi kifupi tuUkianzisha movement dhidi ya utawala hakikisha una backup ya USA au Russia
Okeyyyy. Leo nimepata jibu la siku nyingi. Akili yangu ilifikiri sana huyu muasi gani mbona yupo kimwa/amedoroda halaf ghafla unasikia anamngoa PK.PK aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate Wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba
Nipo nasoma kitabu kuhusu Kagame, naweza kuamini, jamaa ana mbinu chafu balaaPK aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate Wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba