Kwisha habari yake

Kwisha habari yake

PK aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate Wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba
Naunga mkono hoja
 
PK aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate Wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba
 
Hivi si ndo huyu katika hizi picha??
FB_IMG_15582178409139934.jpg
FB_IMG_15582178662098148.jpg
FB_IMG_15582178887020430.jpg
FB_IMG_15582179171713382.jpg
FB_IMG_15582179004374368.jpg
 
Pale kagame vile anavyowaza atakavyomshughulikia sankara
FB_IMG_15582177593326571.jpg
 
PK aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate Wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba
Naamini unachosema kwa sababu huwezi kukamatwa kwa kosa kubwa kama hilo halafu ukawa umevaa sun glasses tena ndani ya jengo wakakuwachia nazo. Serikali watataka ya kukuadhirisha na njia moja ni kuwa macho yako yakutane na macho ya wananchi ili wakusute!
 
PK aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate Wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba
Hata sura haisadifu woga
 
Back
Top Bottom