Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,207
- 40,645
Naunga mkono hojaPK aliunda kikundi cha waasi huyu Sankara akiwa kiongozi ili baada ya muda amkamate Wanyarwanda waone PK ni strong man na wamuogope kuwa ataeanzisha uasi atakamatwa. The whole issue was staged. PK na Sankara ni kama CCM na Lipumba