Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Mimi ni baba wa mtoto mmoja, sina uzoefu na kulea watoto aidha nasaidiwa sana na wanaJF katika kujua baadhi ya mambo yanayomhusu mtoto.
Nakili nilienda clinic katika moja maeneo ninayoishi niliona saver was interested na maswali niliyokuwa nammuliza aidha pangine aliona nampotezea muda au nae hajui.
Mwanangu kwa sasa anasumbuliwa na kwikwi ya mara kwa mara.
Je, kwikwi husababishwa na nini?
Nimepewa njia za kuweza kuzuia ikiwemo kukilowesha kinyuzi cha nguo kwa mate na kukiweka katika paji lake la uso na kumpaka wanja, yote nimefanya lakini bado naona tatizo linaendelea.
Msaada...
2.
--------------MICHANGO-----------------
Nakili nilienda clinic katika moja maeneo ninayoishi niliona saver was interested na maswali niliyokuwa nammuliza aidha pangine aliona nampotezea muda au nae hajui.
Mwanangu kwa sasa anasumbuliwa na kwikwi ya mara kwa mara.
Je, kwikwi husababishwa na nini?
Nimepewa njia za kuweza kuzuia ikiwemo kukilowesha kinyuzi cha nguo kwa mate na kukiweka katika paji lake la uso na kumpaka wanja, yote nimefanya lakini bado naona tatizo linaendelea.
Msaada...
2.
Mke wangu amejifungua siku 16 zilizopita na mtoto anaendelea vizuri tu,hana tatizo kubwa zaidi ya hili linalonipa maswali.Anapata kwikwi mara kwa mara,ambayo hudumu kwa takribani dakika 10-15 then inaisha.
Swali langu ni kwamba hii hali na kawaida?
Je, is it necessary for a kid kupata kwikwi yaani hawezi kuishi bila hii kitu? na kama anaweza, what should be done ili niiondoe kabisa?
Naomba msaada.
--------------MICHANGO-----------------
Kwikwi huwapata watoto hata kabla hawajazaliwa wakiwa matumboni mwa mama zao!
Hutokana na mfumo mzima wa kupumua kwa mtoto.Ni kitu cha kawaida katika ukuaji wa mtoto.
Cha kufanya ni kumfanaya mtoto apitishe muda katika hali ya raha ( comfort) kwa kumnyonyesha au kumbembeleza.BTW mtoto hubembelezeka kwa urahisi zaidi kwa kunyonya.
Imani nyingine kama kumwekea uzi kwenye paji la uso haziondoi kwikwi.
Njia pekee ni kuvuta subira na muda unapita na kwikwi kusha yenyewe.
Pole sana,ni suala common kwa watoto wachanga hasa wa kwanza(usiniulize takwimu)
Inasemekana sababu kubwa ni kunyonya 'hewa'.
Hii huchangiwa na position ya mtoto wakati wa kunyonya kuacha nafasi ya kuingiza 'hewa' kinywani.
Pia wengine wanasema overfeeding inaweza kupelekea hali hii.
Cha kufanya...
Muone daktari/mkunga aliyebobea kwenye maswala ya watoto wachanga/unyonyeshaji anaweza kukusaidia.