Ustaarabu zero!
wangefoleni ingekuwa rahisi kwa wote kupanda bus kwa utulivu bila jasho!
Ustaarabu zero!
wangefoleni ingekuwa rahisi kwa wote kupanda bus kwa utulivu bila jasho!
​
Kama sio Mbezi basi kimara huwa hawana tofauti na mbagala....
Hapa nadhani turudishe ule utamaduniwa zamani w kupanda uda na kamata enzi hizo, unafika kituoni unapanga foleni kama unapiga kura vile wa kwanza kufika ndio anakuwa wakwanza kuingia kwenye gari