engine rock
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,389
- 1,418
Yes,ni masabi aisee kulikua na mnada wa ngo'mbe na mbuzi dah,kitambo sana,nashukuru sana kwa kunikumbusha.Nadhani hapo badala ya nyasubi ulimaanisha "Masabi"?
Yes,ni masabi aisee kulikua na mnada wa ngo'mbe na mbuzi dah,kitambo sana,nashukuru sana kwa kunikumbusha.Nadhani hapo badala ya nyasubi ulimaanisha "Masabi"?
Hatari sana.....Hahahha kumbe ninwewe duuuh..sku hiz dash haipo buana.

Huko napajua ndani nje, nje ndaniMkuu unapajua vizuri sana huku..hahahaha
Nami pia naikumbuka kampuni ya uchimbaji madini ya TanZoro. Alikuwepo Bwana Chikusa ambaye sasa ni marehemu RIP.Picha, nmesoma shule ya Kakola darasa la kwanza na nilipanda mti mwaka 98,vp kampuni ya Tanzoro bado ipo?
Weka picha
Wewe ni zaidi ya punguani na ni zaidi ya mavi mabichi ya binadamu.barabara mbona nzuri tu chapeni kazi acheni kulalamika