Kwenye Utawala wa awamu ya 5, Viongozi wa Chadema walikamatwa, walitekwa, walifungwa jela, walipotezwa, walijeruhiwa na wengine waliuawa

Niunge mkono hoja za Machadema ambao wanataka watumie mwanya huo kwenda kujineemesha Kwa Vyeo kisha waanze kutulingia majumba kama yule Jacob aliyeiba pesa Alipokuwa meya katakayosha kwenye mayai anajifanya kajengea Gorofa mayai si ndio? 😁😁
🤣 🤣 🤣
 
Binafsi Namshukuru kwa kazi nzuri ya kuwasafirisha kuzimu wahuni. Ameondoka na makumi ya wahuni walioinyonya nchi hii.

Hata mungu hakusubiri mwisho wa dunia ili aihukumu sodoma, alipoona uhuni wao umezidi Kiasi aliwamaliza.

Aliyoyafanya uncle ni kama alipanda mbegu tu, Tusubiri miche ichipue. Wahuni watendelea kupata tabu ileile.

NIMEMIS SANA KUSIKIA HABARI ZA WAHUNI KUOKOTWA KWENYE VIROBA
🤔🤔🙄
 
Hapo mwisho hapo

Chadema ndio vibaraka wa wezi wa mali za umma

Akiongozwa na Mbombo ngafu Makelele wa Ubeljiji
Mkuu labda kama una maanisha kina Sumaye, Katambi, Waitara, C19 wote, silinde, Mkumbo, Nasari, Lijualikali, na kadhalika. Hao wanaweza kuwa ni wezi na vibaka!
 
Niunge mkono hoja za Machadema ambao wanataka watumie mwanya huo kwenda kujineemesha Kwa Vyeo kisha waanze kutulingia majumba kama yule Jacob aliyeiba pesa Alipokuwa meya katakayosha kwenye mayai anajifanya kajengea Gorofa mayai si ndio? 😁😁
Tuhuma zako ni duni
 
..Samia na Husseni wanapaswa kuunda TUME za Uchunguzi ili kupata ukweli wa yaliyotokea ktk awamu ya 5 na kabla ya hapo.

..Maridhiano yanapaswa kutambua dhuluma aliyotendeka, nani walihusika, na wahanga kuombwa radhi na kulipwa fidia.
📝🆒🔊👍👌👊👏🤝🙏🗼💐
 
Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi huu wa 3, ambao ni Mwezi wa Mungu.

Kwenye utawala wa Awamu ya 5, ulioongozwa na Dkt. John Magufuli, Karibu viongozi wote wa Chadema wa ngazi zote walitekwa, walikamatwa, walijeruhiwa, waliuawa na walirundikwa selo ama walifungwa jela, kwa kesi za uongo ili kuwakomoa.

Wanaouliza kwanini tunayaleta haya leo , jibu lake ni hili , ni kwa sababu hatutaki uchafu huu urudiwe tena kwenye Nchi yetu nzuri, Never and Never again.

Alphonce Mawazo alikuwa kiongozi wa mwanzo kabisa kuuliwa baada ya awamu ya 5 kutwaa madaraka, huyu alipigwa mashoka kuliko hata yale wanayopigwa ng'ombe wa nyama machinjioni.

View attachment 2936409

Alphonce Mawazo ni miongoni mwa watu walioua CCM Kanda ya Ziwa, hii ndio sababu kubwa ya kuuawa kwake , serikali ya Jiwe ikazuia mazishi yake kwa siku kadhaa , yaani wamemuua lakini hawataki azikwe , Mawazo anaingia kwenye historia ya Taifa kuwa mwanasiasa wa kwanza kuzikwa kwa Hati ya Mahakama .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa akisema kwamba anayekula nyama ya mtu haachi, hakika ndivyo ilivyokuwa, baada ya Mawazo mambo ya kukamata viongozi wa Chadema yakashika kasi, Godbless Lema akakamatwa na kupewa kesi na kisha kunyimwa dhamana kwa tuhuma za kutoa unabii hadharani , hata hivyo unabii huo ulikuja kutimia bila hata kupunja .

View attachment 2936423View attachment 2936426

Kama haitoshi viongozi wa Chadema wakaanza kuwindwa na kukamatwa kama kuku wa Pasaka, Tundu Lissu akapigwa risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua, ikaelekezwa azikwe haraka na hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ikaandaliwa.

Mbunge wa Mbeya Mjini, Sugu akakamatwa na kufungwa jela kwa kesi ya uongo, Hakimu aliyemfunga jela Michael Mteite akapandishwa cheo.

View attachment 2936433View attachment 2936434

Viongozi wote wa Chadema Tunduma walikamatwa akiwemo Meya wa Mji huo Ally Mwafongo na kupewa kesi ya uzushi ya mauaji, yaani viongozi 57 wote wanadaiwa kuua mtu mmoja tu wa CCM haya ndio mambo ya awamu ya 5.

Mdude akatekwa na kuteswa nusu ya kufa, shukrani ziwaendee Wazungu walioingilia kati hadi akapatikana.

Karibu viongozi wote wa Kamati Kuu ya Chadema akiwemo Freeman Mbowe walikamatwa na kuswekwa gerezani kwa tuhuma za uongo za kusababisha mauaji ya Akwilina, Ambaye alipigwa risasi na Polisi chini ya Lazaro Mambosasa aliyekuwa RPC, viongozi wa Chadema wakahukumiwa kifungo au kulipa faini ya Mamilioni ya hela za kitanzania, unaweza kushangaa walioua ni Polisi, lakini waliohukumiwa ni Chadema!

Hivyo ndivyo Hakimu Thomas Simba alivyoona, Shukrani sana kwa Watanzania walioamua kuchanga fedha zao ili viongozi hao wa Chadema wasiozee jela

Wanachadema waliopotea, kuteswa na kufungwa ni wengi, akiwemo Bernard Saa Nane ambaye hadi leo hajulikani aliko

Nitasema kweli Daima fitina kwangu mwiko
Haya mambo yasitokee tena kwenye nchi ya waliostaarabika
 
Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi huu wa 3, ambao ni Mwezi wa Mungu.

Kwenye utawala wa Awamu ya 5, ulioongozwa na Dkt. John Magufuli, Karibu viongozi wote wa Chadema wa ngazi zote walitekwa, walikamatwa, walijeruhiwa, waliuawa na walirundikwa selo ama walifungwa jela, kwa kesi za uongo ili kuwakomoa.

Wanaouliza kwanini tunayaleta haya leo , jibu lake ni hili , ni kwa sababu hatutaki uchafu huu urudiwe tena kwenye Nchi yetu nzuri, Never and Never again.

Alphonce Mawazo alikuwa kiongozi wa mwanzo kabisa kuuliwa baada ya awamu ya 5 kutwaa madaraka, huyu alipigwa mashoka kuliko hata yale wanayopigwa ng'ombe wa nyama machinjioni.

View attachment 2936409

Alphonce Mawazo ni miongoni mwa watu walioua CCM Kanda ya Ziwa, hii ndio sababu kubwa ya kuuawa kwake , serikali ya Jiwe ikazuia mazishi yake kwa siku kadhaa , yaani wamemuua lakini hawataki azikwe , Mawazo anaingia kwenye historia ya Taifa kuwa mwanasiasa wa kwanza kuzikwa kwa Hati ya Mahakama .

Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa akisema kwamba anayekula nyama ya mtu haachi, hakika ndivyo ilivyokuwa, baada ya Mawazo mambo ya kukamata viongozi wa Chadema yakashika kasi, Godbless Lema akakamatwa na kupewa kesi na kisha kunyimwa dhamana kwa tuhuma za kutoa unabii hadharani , hata hivyo unabii huo ulikuja kutimia bila hata kupunja .

View attachment 2936423View attachment 2936426

Kama haitoshi viongozi wa Chadema wakaanza kuwindwa na kukamatwa kama kuku wa Pasaka, Tundu Lissu akapigwa risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua, ikaelekezwa azikwe haraka na hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ikaandaliwa.

Mbunge wa Mbeya Mjini, Sugu akakamatwa na kufungwa jela kwa kesi ya uongo, Hakimu aliyemfunga jela Michael Mteite akapandishwa cheo.

View attachment 2936433View attachment 2936434

Viongozi wote wa Chadema Tunduma walikamatwa akiwemo Meya wa Mji huo Ally Mwafongo na kupewa kesi ya uzushi ya mauaji, yaani viongozi 57 wote wanadaiwa kuua mtu mmoja tu wa CCM haya ndio mambo ya awamu ya 5.

Mdude akatekwa na kuteswa nusu ya kufa, shukrani ziwaendee Wazungu walioingilia kati hadi akapatikana.

Karibu viongozi wote wa Kamati Kuu ya Chadema akiwemo Freeman Mbowe walikamatwa na kuswekwa gerezani kwa tuhuma za uongo za kusababisha mauaji ya Akwilina, Ambaye alipigwa risasi na Polisi chini ya Lazaro Mambosasa aliyekuwa RPC, viongozi wa Chadema wakahukumiwa kifungo au kulipa faini ya Mamilioni ya hela za kitanzania, unaweza kushangaa walioua ni Polisi, lakini waliohukumiwa ni Chadema!

Hivyo ndivyo Hakimu Thomas Simba alivyoona, Shukrani sana kwa Watanzania walioamua kuchanga fedha zao ili viongozi hao wa Chadema wasiozee jela

Wanachadema waliopotea, kuteswa na kufungwa ni wengi, akiwemo Bernard Saa Nane ambaye hadi leo hajulikani aliko

Nitasema kweli Daima fitina kwangu mwiko
Mawazo alishambuliwa wakati wa utawala wa JK awamu ya nne acha upotoshaji sijui unapata kitu gani.

Je sasa watu hawatekwi na kupotezwi au unajitoa ufahamu kwa chuki zako na wenzio dhidi ya JPM?

Tazama hautapata mafanikio yoyote kisiasi kama wewe na kikundi chako cha kiharifu mtaendelea kutapika ubaya wa mtu mwingine hasa JPM, hamtapata kuaminiwa tena labda muombe radhi na kufuta kauli zako unazotumwa na baadhi ya viongozi walioko madarakani wenye chuki na JPM.

Unapoteza muda wako bure bila kubadilisha chochote kile kuhusu utendaji bora wa JPM wakati wake kwa manufaa ya wananchi wema ambao ni wengi.
 
Mawazo alishambuliwa wakati wa utawala wa JK awamu ya nne acha upotoshaji sijui unapata kitu gani.

Je sasa watu hawatekwi na kupotezwi au unajitoa ufahamu kwa chuki zako na wenzio dhidi ya JPM?

Tazama hautapata mafanikio yoyote kisiasi kama wewe na kikundi chako cha kiharifu mtaendelea kutapika ubaya wa mtu mwingine hasa JPM, hamtapata kuaminiwa tena labda muombe radhi na kufuta kauli zako unazotumwa na baadhi ya viongozi walioko madarakani wenye chuki na JPM.

Unapoteza muda wako bure bila kubadilisha chochote kile kuhusu utendaji bora wa JPM wakati wake kwa manufaa ya wananchi wema ambao ni wengi.
Usilie kuna nyuzi 17 chungu zinakuja , Alphonce Mawazo aliuawa tarehe ngapi ? utajua hujui
 
actually, hatutakiwi kuja kuruhusu kuwa na utawala wa aina ile tena nchini kwetu. utawala usio na sheria, watu waliishi bila kujua watatekwa au la, na watekaji walikula hela sana za uporaji na kutishia watu aidha kuwapoteza au kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi, Mungu hafurahishwi na maisha ya aina ile, machozi ya waliomwagwa damu yataendelea kulia hadi haki itendeke.
Watesaji na majambazi wakawa anaaongezwa vyeo. Sijui Mabilioni mangapi walilipwa.
 
Tumshukuru Allah kwa 'kutuondelea' ile awamu ya wauaji!
Ila damu walizomwaga zitaandamana na kuwatesa maisha yao yote na jehenam inawasubiri!
 
Ila damu ya binadamu kama wewe haikumwagika kisa tofauti za kiitikadi,wapi Mr.Saanane?hivi wewe pumbavu hua unaifikiria familia yake?,watoto wake?au wewe ni shoga huna watoto nini?
Unajifanya una uchungu haya tangulia mlango wa leba ule nakuja kukudhalisha!
 
Back
Top Bottom